Wanaume tusio na pesa tukiungana tutaheshimiwa

Wanaume tusio na pesa tukiungana tutaheshimiwa

Japo hao wanaigiza tu ila Hizi kesi tunazo za kutoshaa[emoji16][emoji16]! Vibinti vidogooo havitaki shule kukimbilia miborouu mxxiewww!!

Huyo jamaa kanichekesha anaparamia watu afu anawatungia story anayoijua yeye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora uzima maisha ni matokeo!! Katika maisha kuna kupata na kukosa pia!

Binafsi naona ni bora niwe na mwanaume masikini asie na dharau na anaejali hata kwa kidogo tu na kukuheshimu kuliko tajiri mwenye pesa mwenye mambo miambiliiii kidogoo!!
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Pesa inaleta dharau/ jeuri!
Siku hizi wanaume hawana mapenzi ya kweli haijalishi ni masikini au tajiri, huyo masikini unayemuona anajali ni kwa sababu ni masikini hata yeye akipata atakuwa na dharau vile vile, maana si ajabu hata hao matajiri walipokuwa masikini nao walikuwa humble

Hujawahi kusikia kuna wanawake walianzia chini na wanaume wao ila baadaye hao wanaume walipofanikiwa wakawasaliti, ni kwamba atakuwa na wewe kwa sababu tu ndio upo kwa ajili yake kwa wakati huo, akishazipata ataanza sasa kuwatafuta wale aliokuwa anawatamani ila kipindi hicho aliwakosa sababu ya umasikini wake

Mwanaume ni mwanaume tu haijalishi ni tajiri au masikini, wanawake wengi siku hizi wana msemo wao wanakuambia "bora kulia ndani ya gari kuliko kulia juu ya bodaboda" maana kwa vyovyote vile kulia lazima utalia tu, halafu hata hivyo huwa nashangaa wanaume wasipopendewa pesa wanataka wapendewe nini kingine maana hata wao huwa hawawapendi wanawake hivi hivi lazima kuna sababu
 
Wakati kupata na kukosa ni sehemu ya maisha.
Sasa mwanamke wako atajuaje kama siku hiyo umepata au umekosa ilihali huwa mmepanga misururu ya michepuko na yote inahitaji kuhudumiwa, mfano umepata elfu hamsini mwanamke wako unampeleka elfu kumi michepuko yako unaipelekea elfu ishirini ishirini halafu unamdanganya kwamba hicho ndicho ulichopata, obviously mwanamke hawezi kuamini maana huwa mnakiri wenyewe kuwa hakuna mwanaume asiyechepuka
 
Siku hizi wanaume hawana mapenzi ya kweli haijalishi ni masikini au tajiri, huyo masikini unayemuona anajali ni kwa sababu ni masikini hata yeye akipata atakuwa na dharau vile vile, maana si ajabu hata hao matajiri walipokuwa masikini nao walikuwa humble

Hujawahi kusikia kuna wanawake walianzia chini na wanaume wao ila baadaye hao wanaume walipofanikiwa wakawasaliti, ni kwamba atakuwa na wewe kwa sababu tu ndio upo kwa ajili yake kwa wakati huo, akishazipata ataanza sasa kuwatafuta wale aliokuwa anawatamani ila kipindi hicho aliwakosa sababu ya umasikini wake

Mwanaume ni mwanaume tu haijalishi ni tajiri au masikini, wanawake wengi siku hizi wana msemo wao wanakuambia "bora kulia ndani ya gari kuliko kulia juu ya bodaboda" maana kwa vyovyote vile kulia lazima utalia tu, halafu hata hivyo huwa nashangaa wanaume wasipopendewa pesa wanataka wapendewe nini kingine maana hata wao huwa hawawapendi wanawake hivi hivi lazima kuna sababu

Na huo ndio ukweli HALISI [emoji817]
 
Siku hizi wanaume hawana mapenzi ya kweli haijalishi ni masikini au tajiri, huyo masikini unayemuona anajali ni kwa sababu ni masikini hata yeye akipata atakuwa na dharau vile vile, maana si ajabu hata hao matajiri walipokuwa masikini nao walikuwa humble

Hujawahi kusikia kuna wanawake walianzia chini na wanaume wao ila baadaye hao wanaume walipofanikiwa wakawasaliti, ni kwamba atakuwa na wewe kwa sababu tu ndio upo kwa ajili yake kwa wakati huo, akishazipata ataanza sasa kuwatafuta wale aliokuwa anawatamani ila aliwakosa sababu ya umasikini wake

Mwanaume ni mwanaume tu haijalishi ni tajiri au masikini, wanawake wengi siku hizi wana msemo wao wanakuambia "bora kulia ndani ya gari kuliko kulia juu ya bodaboda" maana kwa vyovyote vile kulia lazima utalia tu, halafu hata hivyo huwa nashangaa sasa wanaume wasipopendewa pesa wanataka wapendewe nini kingine maana hata wao huwa hawawapendi wanawake hivi hivi lazima kuna sababu
Huu ni ukweli mchungu kabisa. Ila ndo hivyo

Sisi wanaume huwa tuna wanawake wa ndoto zetu sema sasa kuwapata bila hela au mafanikio ni ishu kweli kweli.

Mimi naishi uswahilini sasa hivi ila mmh kusema ukweli wa moyoni sina lengo kabisa la kuja kuoa huku hapana aisee nooo.

Yaani hata mimi nataka wale wanawake wale grade A (mzuri, personality nzuri, msomi, mcha Mungu) n. K

Sema ndo hivyo tena kuwapata ni shughuli kwelikweli

All in all. Wanaume wengi tunataka wanawake wazuri ni ufukara tu ndio unaotufanya tu chill huku ila tukizipata itakuwa another case.
 
Siku hizi wanaume hawana mapenzi ya kweli haijalishi ni masikini au tajiri, huyo masikini unayemuona anajali ni kwa sababu ni masikini hata yeye akipata atakuwa na dharau vile vile, maana si ajabu hata hao matajiri walipokuwa masikini nao walikuwa humble

Hujawahi kusikia kuna wanawake walianzia chini na wanaume wao ila baadaye hao wanaume walipofanikiwa wakawasaliti, ni kwamba atakuwa na wewe kwa sababu tu ndio upo kwa ajili yake kwa wakati huo, akishazipata ataanza sasa kuwatafuta wale aliokuwa anawatamani ila kipindi hicho aliwakosa sababu ya umasikini wake

Mwanaume ni mwanaume tu haijalishi ni tajiri au masikini, wanawake wengi siku hizi wana msemo wao wanakuambia "bora kulia ndani ya gari kuliko kulia juu ya bodaboda" maana kwa vyovyote vile kulia lazima utalia tu, halafu hata hivyo huwa nashangaa wanaume wasipopendewa pesa wanataka wapendewe nini kingine maana hata wao huwa hawawapendi wanawake hivi hivi lazima kuna sababu
Ni kweli sema uwe masikini uwe tajiri kama unaleta dharau/ jeuri ๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ!
Bora nipambane nahali yangu kiukweli!๐Ÿ™Œ
 
Kuna nyingine anamwambia mtu eti mkulima wa bhangi na haogopi serikali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo ukute bangi inakua ishakolea zinazochaji hapo sio akili zake tena ,๐Ÿ˜๐Ÿ˜!
 
Back
Top Bottom