YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Hee...sijaona..uzi gani? Bas ana stress...sikumjibu nilimpa mshangao...eti usinizoee.wtf
Kavurugwa vibaya itakuwa alikatisha dose akaendelea kumoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee...sijaona..uzi gani? Bas ana stress...sikumjibu nilimpa mshangao...eti usinizoee.wtf
Uduguuu nimekimisso twende ukanibless jamaneee!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hatuachani ng’o
Madam itakuwa we ni mtam sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!
Humu haya ni Majina makubwa wa vipaji ukianzisha uzi kuhusu Mahondaw/ Antonnia sijui naninani huko lazima huo Uzi ujaeee!![emoji1783][emoji1783][emoji1787]!!
Au hata ukikoment tyuuu lazima visokorokwinyooo wotreee watoke walipojificha bwahahahahahahahahah!!!
Jf sihamiiiiii [emoji126][emoji126][emoji1739][emoji1739]!!
Utamu who which where??😊 Khakhaa! ! Tangu lini wazee/ mishangazi tukawa watamu ???Madam itakuwa we ni mtam sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uduguuu nimekimisso twende ukanibless jamaneee!!
Acha hizoooo uduguuui! Nichekie Hata ugoko au matama tyuu Jioni yangu iende vizuree jamanee😊![emoji23][emoji23][emoji23] Sina jipya udugu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]madam bwana!!Utamu who which where??[emoji4] Khakhaa! ! Tangu lini wazee/ mishangazi tukawa watamu ???
Utani wa ngumii huu wa vipajii sina hata huo utramu mie !
Acha hizoooo uduguuui! Nichekie Hata ugoko au matama tyuu Jioni yangu iende vizuree jamanee[emoji4]!
Kwa tathmini ya haraka haraka, bado hujafika 40; uko young 😀Mshendwweeeeee komaeni ma na vigoriiiiii vibinti vibichiiii Sie hapana!
Ufafanuzi tafadhariManeno tu vitendo zero [emoji23][emoji23][emoji23]
Afu ss hivi wengi mmevua ubingwa….golini kipa hakuna [emoji2222][emoji2222]
Ufafanuzi tafadhari
Toroka uje 😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa 40 kidogo hivo!! Nina 53 sasa😊 !Kwa tathmini ya haraka haraka, bado hujafika 40; uko young 😀
Si kweli, kwa umri huo ungekuwa na wajukuu 😀Hahahaaa 40 kidogo hivo!! Nina 53 sasa😊 !
Japo hao wanaigiza tu ila Hizi kesi tunazo za kutoshaa😁😁! Vibinti vidogooo havitaki shule kukimbilia miborouu mxxiewww!!
Khakhakhaaaa!! Mie mzee lol!Si kweli, kwa umri huo ungekuwa na wajukuu 😀
Mi na miaka yangu 76, nakuona wewe bado kabinti haswaaaKhakhakhaaaa!! Mie mzee lol!
Mie mkaireee! Hisia zishasinyaa na kuisha kabisa!😁😊Mi na miaka yangu 76, nakuona wewe bado kabinti haswaaa