Wanaume tusio na pesa tukiungana tutaheshimiwa

Wanaume tusio na pesa tukiungana tutaheshimiwa

Kiufupi Tu Aliyeleta Mapenzi Duniani Alileta Vita,

Yani Kutafuta Mpenzi ni Vita, ukimpata Inabidi umpambanie Asikuache nayo ni vita maan hapa ndo Utaanz Kupaka Mavumbi ya Wakongoman Nk ... Plus Pesa za hap na Pale,

Mkiachana Ndo Vita Kamili sasa, mkitaka Kujua Mapenzi ni Vita siku Mkoa mmoja tu wa Tanzania wapewe Ofa na Serikali kwa Wanaume wote Wapime Watoto wao DNA,

Aisee Vita vitakavyoibuka kwenye Huo Mkoa Hata Ukraine na Urusi itabidi Wasimamishe Vita ili wajifunze Kitu katika Vita itakayotokea kwenye Mkoa huo.
AFRICA MY CONTINENT 🤣🤣🤣🤣🤣.
DUUUH HAYA BANA
 
Ukitupatia 8 utakuwa umefanya vizuri, kama kazi hawezi mjulishe tumsaidie 😀
8 wachache sana kama chakula kipo uwezo upo tunakula tunashiba ni kula na kufyatua tu hakuna namna 😊!!

Wee uduguuu akee yupo vizureee!!
 
Ni kweli, kwa sasa nikuiachia yote tu, mtuletee vitoto muijaze dunia; usiwe kama huyu anayejiita Cut... 😀 , bado anakula ujana

Na nakula kweli sio utani, sitaki hekaheka za ndoa mie [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Lakini waambie ERoni anatosha madam 🤣🤣
🤠🤠🤠🤠🤣🤣🤣🤣🤣!
Humu haya ni Majina makubwa wa vipaji ukianzisha uzi kuhusu Mahondaw/ Antonnia sijui naninani huko lazima huo Uzi ujaeee!!🤠🤠🤣!!
Au hata ukikoment tyuuu lazima visokorokwinyooo wotreee watoke walipojificha bwahahahahahahahahah!!!

Jf sihamiiiiii 💃💃🕺🕺!!
 
Hebuu mfanye wepesi mzae mapema mmalize hekaheka mapema uduguuu [emoji1783]!
Au mnasubiria mpaka mzeeke kama shangazi yenu hapa???[emoji4][emoji4][emoji16][emoji16]

Wa kuzaa nao wako wapi?? Ni kutafuta kushinda ustawi wa jamii kudai child support na kupigana vikumbo uduguu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ngoja niendelee kutafuta pesa nikiamua kuzaa, nilee mtoto wangu kwa raha
 
Back
Top Bottom