Wanaume tusio na pesa tukiungana tutaheshimiwa

Wanaume tusio na pesa tukiungana tutaheshimiwa

lakini mkuu Kuna kipindi ulikuwa kwenye mapenzi nakijana mmoja humu anaitwa simati.

moja yamatukio ninayo yakumbuka ni sikumoja uliposti humu maburungutu ya hela ukijinasibu kuwa bwana simati kakuwish birthday yako

kwamaburungutu yale.nakwauchunguzi wangu nipesa taslim kama lakitano hivi na ushee

pia uliposti kama kuwatambia mashosti zako kuwa upo nabwana ambae birthday tu anakuhonga lakitano na ushee

nakuposti kwako kulea kukakufanya Hadi ukapinduliwa na mamá mmjoja humu wakuitwa ddepo ulilia sana.

leohii unasema Bora mwanaume masikini?

simati ulimpendea nini? haliyakuwa ulikuwa umeolewa na mjeda?funguka Mahonda wangu I love you so much.
Jf[emoji40]
 
Ni kweli, kwa sasa nikuiachia yote tu, mtuletee vitoto muijaze dunia; usiwe kama huyu anayejiita Cut... 😀 , bado anakula ujana
Umeona eeeehhh Watoto ni baraka!

Santo sana!

Muda wake ukifika nae hatakua na budi!!
 
lakini mkuu Kuna kipindi ulikuwa kwenye mapenzi nakijana mmoja humu anaitwa simati.

moja yamatukio ninayo yakumbuka ni sikumoja uliposti humu maburungutu ya hela ukijinasibu kuwa bwana simati kakuwish birthday yako

kwamaburungutu yale.nakwauchunguzi wangu nipesa taslim kama lakitano hivi na ushee

pia uliposti kama kuwatambia mashosti zako kuwa upo nabwana ambae birthday tu anakuhonga lakitano na ushee

nakuposti kwako kulea kukakufanya Hadi ukapinduliwa na mamá mmjoja humu wakuitwa ddepo ulilia sana.

leohii unasema Bora mwanaume masikini?

simati ulimpendea nini? haliyakuwa ulikuwa umeolewa na mjeda?funguka Mahonda wangu I love you so much.
Kaburi limefukuliwa.. [emoji23][emoji23]
 
Kiufupi Tu Aliyeleta Mapenzi Duniani Alileta Vita,

Yani Kutafuta Mpenzi ni Vita, ukimpata Inabidi umpambanie Asikuache nayo ni vita maan hapa ndo Utaanz Kupaka Mavumbi ya Wakongoman Nk ... Plus Pesa za hap na Pale,

Mkiachana Ndo Vita Kamili sasa, mkitaka Kujua Mapenzi ni Vita siku Mkoa mmoja tu wa Tanzania wapewe Ofa na Serikali kwa Wanaume wote Wapime Watoto wao DNA,

Aisee Vita vitakavyoibuka kwenye Huo Mkoa Hata Ukraine na Urusi itabidi Wasimamishe Vita ili wajifunze Kitu katika Vita itakayotokea kwenye Mkoa huo.
Na mkishaachana ni vita pia maana vijembe kutupiana ni kawaida
 
Dharau dhidi yetu zimezidi this is too much hata kama pesa ina umuhimu kwenye maisha ifike time tuheshimiane kama unapenda mwanaume mwenye pesa it's okay basi usianze dhihaka kwa wasionacho. leo nimekutana na kundi la maslay queen wakidiss wanaume wasio na pesa aisee wangekuwa na mamlaka basi wangepitisha azimio kuwa mabroke guys wote wauliwe.

Mwana kulitafuta mwana kulipata hawa maslay queen ni wanafiki sana wanaenda kwa masponsa wanapata pesa at same time wanarudi kukunwa na masikini kutolewa nyege.

My opinions ili kuwakumbusha kuwa everything at some point kinakuwa kina faida basi wanaume masikini tutie mgomo kulana na maslay queen tule wanawake wenye heshima wanaojua umuhimu wa mwanaume bila ya kujali kipato chake hapo ndipo sehemu ya kusimamia ukucha hapo ndipo pakupaka mkongo pekee.

Hawa maslay queen waacheni watumie my Dildo na mavidole yenye mikucha kama majini kutuliza hakshi zao na ikitokea kakutengea ni mwendo wa tako mbili wazungu hao hakuna haja ya kumfikisha kileleni slay queen.

Trust me ndani ya muda mfupi bila kujali financial status wanaume tutaanza kupewa heshima yetu.
NAKAZIA,

ma slay queen tusiwape dyudyu tena ili wajue umuhimu wetu
 
Back
Top Bottom