Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Unavyoongea hapa, unaweza hisi labda umetoka ulimwengu mwingine 😀
Wakati mpiga vizinga nambari Moja🤣🤠🤠🤠🤠😂😂😂🤣!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unavyoongea hapa, unaweza hisi labda umetoka ulimwengu mwingine 😀
Cheza na uzee weye🤣...maamuz ni yako..kununua set nzima ya wix au ununue ndoo ya rangi upake nyumba yakoUmeanza lini? 🤣
Uduguuu sikuhizi nina furaha mieee sitaki shareeeee nawatruuuuu!!🕺Udugu nimecheka tu waja wanavyopenda kukuchachua ukichangia mada yoyote
Wagner tupo twende tukaripue tumchukue mume wetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uduguuu sikuhizi nina furaha mieee sitaki shareeeee nawatruuuuu!![emoji1739]
Lol umesema gesi umenikumbusha gesi imeisha!😊😊😊😊Cheza na uzee weye🤣...maamuz ni yako..kununua set nzima ya wix au ununue ndoo ya rangi upake nyumba yako
Au ununue turmeric og au ununue gesi ya kupikia💃...kua uyaone
Vipi hapa, sema ukweli hushawishiki?
View attachment 2720647
Hapo pa Majonjwa sugu hapo uduguuu 🙌🙌🙌🙌!! Bora nipambane naharee yangu tyuu kwakweli!!Kweli udugu magonjwa sugu mengi, linda afya yako na ya familia yako [emoji3][emoji3][emoji3]
Cheza na uzee weye[emoji1787]...maamuz ni yako..kununua set nzima ya wix au ununue ndoo ya rangi upake nyumba yako
Au ununue turmeric og au ununue gesi ya kupikia[emoji126]...kua uyaone
Anaonekana anapenda hio staili esp hapo kati na back view inavoonekana!Shemeji hii pic unaipenda sijui kwann?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe mwenyewe hapo, baada ya kuiona umejikuta huko chini hapa eleweki 😀Shemeji hii pic unaipenda sijui kwann?? [emoji23][emoji23][emoji23]
wacha nibakie kua singo kwanza kwa sasa.Yakumnunulia perfume
Na kumtumia na ya kutolea 🏃♀️🏃♀️😂
Ebu kaa hivyo nikuone 😀😀; kuna mkopo nausubiria hapa niupate ili niupangie matumizi 😀Anaonekana anapenda hio staili esp hapo kati na back view inavoonekana!
Anaonekana anapenda hio staili esp hapo kati na back view inavoonekana!
Mgonjwa yupiii??🤣Hivi sisy mgonjwa alipona? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli wewe ni waifu matirio; ulitakiwa upate mwanaume kama mimi 😀Cheza na uzee weye🤣...maamuz ni yako..kununua set nzima ya wix au ununue ndoo ya rangi upake nyumba yako
Au ununue turmeric og au ununue gesi ya kupikia💃...kua uyaone
Ebu kaa hivyo nikuone 😀Huyu atakua anaifanyia mchezo mbaya [emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Gesi ikiisha mie nakosaga pozi..nusu laki🤣..afu iishe wknd...ulikua unawaza uupe moyo pole kwa heka heka za wiki zima then gesi shwaaaLol umesema gesi umenikumbusha gesi imeisha uwiiii!😊😊😊😊
Wewe mwenyewe hapo, baada ya kuiona umejikuta huko chini hapa eleweki 😀