Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kama...kujali sio lazima mpaka mwanaume akupe pesa tu mkuu kuna vitu vingi sana hapo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama...kujali sio lazima mpaka mwanaume akupe pesa tu mkuu kuna vitu vingi sana hapo!
Sasa hivi nywele og ni hela ya tiles box kama 20 hivi zile tiles zinazokaa 7!Sisi Wazee tumebaki kushuhudia mnayopitia, maana enzi zetu Pesa haikuwa sehemu ya hitaji la Mwanamke kukupenda.
Ili Mwanamke avutiwe nawe ilikuwa lazima uoneshe una mashamba ya yeye na wewe kuweza kulima ili kuweza kujikimu.
Wakati huo kusuka ilikuwa mtindo wa twende kilioni tu ambao wanasukana wenyewe bure, sio kama ninyi hela anayotaka Mpenzi wako kusuka inaweza kununua mabati 28G ya kuweza kuezeka chumba na sebule 🤪🙌
Wewe si ndio umesema hivyo unambandua na mtoto ni wa kwako umempora mjeda, we jamaa Mimi nafungua code nipo vizuriUsinitafutie kesi kwa wakulungwa mkuu 😀 😀
Kwani mjeda yuko mmoja tu?Wewe si ndio umesema hivyo unambandua na mtoto ni wa kwako umempora mjeda, we jamaa Mimi nafungua code nipo vizuri
Ndio maana wa kwangu nimemwambia anyoe upara tu sitaki Mambo mengi Pesa ya kiwanja unaenda kununua nywele we si hamnazoSasa hivi nywele og ni hela ya tiles box kama 20 hivi zile tiles zinazokaa 7!
Kupanga ni kuchagua
1. Kutimiza majukumu yakeKama...
Utatamani wa nje waliopendezeshwaNdio maana wa kwangu nimemwambia anyoe upara tu sitaki Mambo mengi Pesa ya kiwanja unaenda kununua nywele we si hamnazo
Sifa zote ninazo, mwakani utakuwa mke wangu wa 121. Kutimiza majukumu yake
2. Kujali hisia zako
2. mawazo/ maoni yako na kuyafanyia kazi
3. Kukujulia hali unapokua mbali nae N.k n.k !
Khakhakhaaaa!!Kwani mjeda yuko mmoja tu?
Na ndio kanuni hiiUtatamani wa nje waliopendezeshwa
Kwa kweli maisha ya mahusiano kwasasa ni gharama sana.Sasa hivi nywele og ni hela ya tiles box kama 20 hivi zile tiles zinazokaa 7!
Kupanga ni kuchagua
Hao wavaa mawigi hawanitamanishi huyu huyu mwenye upara akiotesha sana kipiripiri kinatosha anapendeza nani amekwambia hapendezi umemuona?Utatamani wa nje waliopendezeshwa
Mara nyingi macho yanataka vitu vizuriNa ndio kanuni hii
Vipi hapa, sema ukweli hushawishiki?Hao wavaa mawigi hawanitamanishi huyu huyu mwenye upara akiotesha sana kipiripiri kinatosha anapendeza nani amekwambia hapendezi umemuona?
Km mtako mkubwa km huo anao sema kingine hapo kuna kipi kipya labda nionyeshe?Vipi hapa, sema ukweli hushawishiki?
View attachment 2720647
Mara nyingi macho yanatamani vizuri!!Mara nyingi macho yanataka vitu vizuri
Kwa hio hujanijibu mboniMara nyingi macho yanatamani vizuri!!