Wanaume tusio na pesa tukiungana tutaheshimiwa

Wanaume tusio na pesa tukiungana tutaheshimiwa

Kiufupi Tu Aliyeleta Mapenzi Duniani Alileta Vita,

Yani Kutafuta Mpenzi ni Vita, ukimpata Inabidi umpambanie Asikuache nayo ni vita maan hapa ndo Utaanz Kupaka Mavumbi ya Wakongoman Nk ... Plus Pesa za hap na Pale,

Mkiachana Ndo Vita Kamili sasa, mkitaka Kujua Mapenzi ni Vita siku Mkoa mmoja tu wa Tanzania wapewe Ofa na Serikali kwa Wanaume wote Wapime Watoto wao DNA,

Aisee Vita vitakavyoibuka kwenye Huo Mkoa Hata Ukraine na Urusi itabidi Wasimamishe Vita ili wajifunze Kitu katika Vita itakayotokea kwenye Mkoa huo.
 
Noma sana umempa cha mbavu duuh
Yeye alishatafuta mwingine, na huyu wa kwake akaamua awe mchepuko wangu na akanizalia mtoto; maisha yana mambo mengi sana.

Mwanzoni alinipruni sana salio kutokana na uzuri wake; mkiwa kiwanja anaagiza savana 15+ au wine yoyote ya gharama, kwa sababu alikuwa mnywaji sana, saluni ndio ilikuwa nyumbani kwake, kufuga kucha, kubadilisha mawigi, kupika hataki, yeye ni kuagiza nyama choma.

Nikasema hapa ni kupachika ki zygote; baada ya hapo, uchumi umetulia sasa na ameshajua maisha ni nini.

Sasa hivi, yeye ndio anayebembeleza shoo.​
 
Back
Top Bottom