superchager turubo
Senior Member
- Aug 12, 2023
- 177
- 304
namimi nataka ulichompa simatiKwahio niwasaidie nini???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
namimi nataka ulichompa simatiKwahio niwasaidie nini???
Kimtokacho'mtu ndio kimuingiacho hapa umefanya kitu kinaitwa CONFESSION yaan ume-plead GuiltyUmalaya nifanye mie kuteseka mteseke wengine
Asiwe na masarauuu majeuriiiiii na awe anajali!We unapenda mtu awe na pato kiasi gani?; kupenda pesa ndipo inapopelekea kwa mtoa pesa kuwa na jeuri, dharau, kwa sababu anajua ananunua.
Acha uroho mkuu utakufa mdomo wazi huku meno yamekenuanamimi nataka ulichompa simati
Kupata nini mkuu??Dah kumbe hadi sa hvii bado ujapata!!
Nami nimempora mjeda wa manyota nyota; haya mambo ni yakawaida sana, na sa hivi slay queen yupo njiani anamleta mtoto amsalimie babaMbona mambo haya Sisi wakongwe tunayajua vizuri sana.
labda umejiunga miaka yahivi karibuni mkuu.
ila wajeda wanagongewa sana.
Yesu anarudi twende Msikitini tukaswali leo IJUMAAAsiwe na masarauuu majeuriiiiii na awe anajali!
Noma sana umempa cha mbavu duuhNami nimempora mjeda wa manyota nyota; haya mambo ni yakawaida sana, na sa hivi slay queen yupo njiani anamleta mtoto amsalimie baba
Sawasawa!Kimtokacho'mtu ndio kimuingiacho hapa umefanya kitu kinaitwa CONFESSION yaan ume-plead Guilty
Hapo kwenye kujali hapo, ndipo patamu; pesa iwepoAsiwe na masarauuu majeuriiiiii na awe anajali!
Njoo kwa Yesu uokolewe!Sawasawa!
kujali sio lazima mpaka mwanaume akupe pesa tu mkuu kuna vitu vingi sana hapo!Hapo kwenye kujali hapo, ndipo patamu; pesa iwepo
Nishaokolewa kitrambo sana!!Njoo kwa Yesu uokolewe!
Noma sana umempa cha mbavu duuh
Kuokoka si lazima uende kanisani mpaka watu wakuone mkuu wokovu ni matendo! !Yesu anarudi twende Msikitini tukaswali leo IJUMAA
Kwa hio Equation x ndio anaekubandua?Kuokoka si lazima uende kanisani mpaka watu wakuone !