Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Huo ndio ukweli, ingawa nyie mnatumia kama silaa kumchosha mwanaume kwa majukumu ya kifedhaMara nyingi macho yanatamani vizuri!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndio ukweli, ingawa nyie mnatumia kama silaa kumchosha mwanaume kwa majukumu ya kifedhaMara nyingi macho yanatamani vizuri!!
Yakumnunulia perfumenaomba kuchombeza kidogo
kuwa na pesa ni kua na sh ngapi?
Umeanza lini? 🤣Sasa hivi nywele og ni hela ya tiles box kama 20 hivi zile tiles zinazokaa 7!
Kupanga ni kuchagua
Khakhakhaaaa...! Hapana inategemea na tabia ya mtu mkuu ila ninachojua too much ombaomba inawachosha wanaume!Huo ndio ukweli, ingawa nyie mnatumia kama silaa kumchosha mwanaume kwa majukumu ya kifedha
Tatzo mnawaza mapenz tu muda wteDharau dhidi yetu zimezidi this is too much hata kama pesa ina umuhimu kwenye maisha ifike time tuheshimiane kama unapenda mwanaume mwenye pesa it's okay basi usianze dhihaka kwa wasionacho. leo nimekutana na kundi la maslay queen wakidiss wanaume wasio na pesa aisee wangekuwa na mamlaka basi wangepitisha azimio kuwa mabroke guys wote wauliwe.
Mwana kulitafuta mwana kulipata hawa maslay queen ni wanafiki sana wanaenda kwa masponsa wanapata pesa at same time wanarudi kukunwa na masikini kutolewa nyege.
My opinions ili kuwakumbusha kuwa everything at some point kinakuwa kina faida basi wanaume masikini tutie mgomo kulana na maslay queen tule wanawake wenye heshima wanaojua umuhimu wa mwanaume bila ya kujali kipato chake hapo ndipo sehemu ya kusimamia ukucha hapo ndipo pakupaka mkongo pekee.
Hawa maslay queen waacheni watumie my Dildo na mavidole yenye mikucha kama majini kutuliza hakshi zao na ikitokea kakutengea ni mwendo wa tako mbili wazungu hao hakuna haja ya kumfikisha kileleni slay queen.
Trust me ndani ya muda mfupi bila kujali financial status wanaume tutaanza kupewa heshima yetu.
Kuomba omba sana ni tatizo; unatakiwa kutoa ushauri wa namna ya kuwekeza na kupata ela kwa mitaji midogoKhakhakhaaaa...! Hapana inategemea na tabia ya mtu mkuu ila ninachojua too much ombaomba inawachosha wanaume!
Au nawe kama mwanaume kama una uwezo umuongezee au umuwezeshe na kumshauri aweze kugenerate kipato chake asikuombe ombe au kama unahisi hatumii vizuri pesa yake mpe elimu mshauri 🤠😁🤠Kuomba omba sana ni tatizo; unatakiwa kutoa ushauri wa namna ya kuwekeza na kupata ela kwa mitaji midogo
lakini mkuu Kuna kipindi ulikuwa kwenye mapenzi nakijana mmoja humu anaitwa simati.
moja yamatukio ninayo yakumbuka ni sikumoja uliposti humu maburungutu ya hela ukijinasibu kuwa bwana simati kakuwish birthday yako
kwamaburungutu yale.nakwauchunguzi wangu nipesa taslim kama lakitano hivi na ushee
pia uliposti kama kuwatambia mashosti zako kuwa upo nabwana ambae birthday tu anakuhonga lakitano na ushee
nakuposti kwako kulea kukakufanya Hadi ukapinduliwa na mamá mmjoja humu wakuitwa ddepo ulilia sana.
leohii unasema Bora mwanaume masikini?
simati ulimpendea nini? haliyakuwa ulikuwa umeolewa na mjeda?funguka Mahonda wangu I love you so much.
Tatizo mtataka kikubwaAu nawe kama mwanaume kama una uwezo umuongezee au umuwezeshe na kumshauri aweze kugenerate kipato chake asikuombe ombe au kama unahisi hatumii vizuri pesa yake mpe elimu mshauri 🤠😁🤠
Kaolewa na mwanajeshi kaporwa na depo karingishia maburungutu code ngumu
Mambo ya Niger hayakuanza leoTayari kokorikoooo[emoji239]
Antonnia udugu kumbe kulikua mpk na mapinduzi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asieridhika kwa kidogo hata kikubwa hawezi ridhika!!Tatizo mtataka kikubwa
Unavyoongea hapa, unaweza hisi labda umetoka ulimwengu mwingine 😀Asieridhika kwa kidogo hata kikubwa hawezi ridhika!!
Mambo ya Niger hayakuanza leo
Tupo kwenye mada ya pesa uduguuu !
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]!