Wanaume tutafute hela. Hakuna mwanamke mgumu

Wanaume tutafute hela. Hakuna mwanamke mgumu

🤣🤣🤣 Bwana wee mie mwenyewe nimetulia zangu na mlenda vuguvugu basi....napitia ule uzi wa warembo hapa jf najichagulia mrembo mmoja mzuri namvutia picha nimemuinamksha style ya msomali kafia kwa fiat basi.
Maana dah kwa kweli kumiliki demu ni gharama sana. Ila poa tuu one day yes naamini nitapata hela anagalau ya kubadilisha warembo, sio mboga tuu 🤣🤣🤣🤣
Vuta mzigo ndani acha kuzubaa mkuu, hutakiwi kupata shida papa zipo za kutosha.
 
Hahah, katika hali ya kawaida tu kutoka na mcheps out kula, kunywa na kufurahia uumbaji ukijibana ni 100k hapo bado asante ya kutolewa jasho. Halafu mkitoka tu Lodge inaingia text "baba gesi imeisha, halafu tunaomba tuwekee kifurushi ", wtf!!! Mimi nineamua kunyanyua kwapa na kutundika daluga🤣🤣🤣
Bora umegundua mapema Mzee mwenzangu, hakuna Faida kwenye hayo mambo unless tupewe bure bure😜
 
Ebu nipe link ya huo uzi maana kama mbususu jero mbona sasa tutazikinai. Ebu fanya kweli bwana nipe link nipajue wapi mbususu zimeshuka bei
Nikiupata nakuita, nasikia milango yote buku!! Asalaleeee! Utafiako we jamaa!

Kwanza sikutagi! Nimeshtuka tutakupoteza 🤣
 
Nikiupata nakuita, nasikia milango yote buku!! Asalaleeee! Utafiako we jamaa!

Kwanza sikutagi! Nimeshtuka tutakupoteza 🤣
Ilango yote buku aiseee kweli huko ndio kwenyewe....dah sasa kwa nini usinitagi tena...yaani hiv hono ni vitu vya kunyimana kweli? Tena ukizingatia mie mwenyewe tayari nipo grid ya taifa
 
No
🤣🤣🤣 Bwana wee mie mwenyewe nimetulia zangu na mlenda vuguvugu basi....napitia ule uzi wa warembo hapa jf najichagulia mrembo mmoja mzuri namvutia picha nimemuinamksha style ya msomali kafia kwa fiat basi.
Maana dah kwa kweli kumiliki demu ni gharama sana. Ila poa tuu one day yes naamini nitapata hela anagalau ya kubadilisha warembo, sio mboga tuu 🤣🤣🤣🤣
Noma sana
 
Hahah, katika hali ya kawaida tu kutoka na mcheps out kula, kunywa na kufurahia uumbaji ukijibana ni 100k hapo bado asante ya kutolewa jasho. Halafu mkitoka tu Lodge inaingia text "baba gesi imeisha, halafu tunaomba tuwekee kifurushi ", wtf!!! Mimi nineamua kunyanyua kwapa na kutundika daluga🤣🤣🤣
Hii kitu ni kweli kabisa, hivi ni kwanini baada ya kutumia pesa hovyo kwa matumizi yasiyo ya lazima ndio necessities zinaibuka? Yani muda wote una pesa huwa haziibuki sasa ukishatumia pesa vibaya ndio mara battery ya gari inakufa, gas inaisha, babu analazwa, mara kazini watu 3 wanafiwa wote wanahitaji michango.....why??
 
Back
Top Bottom