Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ongea na watu vizuri....Jero???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongea na watu vizuri....Jero???
Si ndio?? 😂Ongea na watu vizuri....
Nikukute!!! 😂😂Jero???
Siwezi kununua hizi babyNikukute!!! 😂😂
Dadeki......Hahah, katika hali ya kawaida tu kutoka na mcheps out kula, kunywa na kufurahia uumbaji ukijibana ni 100k hapo bado asante ya kutolewa jasho. Halafu mkitoka tu Lodge inaingia text "baba gesi imeisha, halafu tunaomba tuwekee kifurushi ", wtf!!! Mimi nineamua kunyanyua kwapa na kutundika daluga🤣🤣🤣
Kabisa kabisa..watu wenyewe hawa wanakuambia kbs km hana hela hana genyeEeeh mzee mwenzangu, kama mfuko haueleweki hizi habari unaweka pembeni tu.
Yaani uwe na hela halafu umkose mwanamke?Hii ni kweli ukiwa na hela kuna asilimia chache sana kumkosa mwanamke unaemfukuzia
refa kabeti alafu kahongwa na hapo hapo ni shabiki wa timu pendwaHakuna jambo baya kama kuskia eti refa kabeti...☹️
Wakitendwa huwa wanalalama kuwa 'walifanya kila kitu', ukiwauliza ni vitu gani, wanataja hela tu.Nakubaliana na wewe mkuu, nimeliona hilo mara nyingi, kuna wanaume zaidi ya Pesa hawana kingine cha ku offer kwenye relationship...
Ni sahihi nikisema kuwa umetushauri tutafute fedha za kununulia wanawake (ambao kimsingi ni makahaba)?As long as tunapata K hakuna tatizo mkuu. Wanaume tumeletwa duniani kwa sababu hiyo mkuu
Don't u forget that
[emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha nchi iuzwe
Na tiGo unapewaUkitaka watoto wazuri wakike lazima ugharamie
Aise siliOngea na watu vizuri....