Wanaume tutafute hela. Hakuna mwanamke mgumu

Vuta mzigo ndani acha kuzubaa mkuu, hutakiwi kupata shida papa zipo za kutosha.
 
Bora umegundua mapema Mzee mwenzangu, hakuna Faida kwenye hayo mambo unless tupewe bure bure😜
 
Ebu nipe link ya huo uzi maana kama mbususu jero mbona sasa tutazikinai. Ebu fanya kweli bwana nipe link nipajue wapi mbususu zimeshuka bei
Nikiupata nakuita, nasikia milango yote buku!! Asalaleeee! Utafiako we jamaa!

Kwanza sikutagi! Nimeshtuka tutakupoteza 🤣
 
Nikiupata nakuita, nasikia milango yote buku!! Asalaleeee! Utafiako we jamaa!

Kwanza sikutagi! Nimeshtuka tutakupoteza 🤣
Ilango yote buku aiseee kweli huko ndio kwenyewe....dah sasa kwa nini usinitagi tena...yaani hiv hono ni vitu vya kunyimana kweli? Tena ukizingatia mie mwenyewe tayari nipo grid ya taifa
 
No
Noma sana
 
Hii kitu ni kweli kabisa, hivi ni kwanini baada ya kutumia pesa hovyo kwa matumizi yasiyo ya lazima ndio necessities zinaibuka? Yani muda wote una pesa huwa haziibuki sasa ukishatumia pesa vibaya ndio mara battery ya gari inakufa, gas inaisha, babu analazwa, mara kazini watu 3 wanafiwa wote wanahitaji michango.....why??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…