Wanaume tutafute hela. Hakuna mwanamke mgumu

Dadeki......
 
Nakubaliana na wewe mkuu, nimeliona hilo mara nyingi, kuna wanaume zaidi ya Pesa hawana kingine cha ku offer kwenye relationship...
Wakitendwa huwa wanalalama kuwa 'walifanya kila kitu', ukiwauliza ni vitu gani, wanataja hela tu.
Hawajui mapenzi ni zaidi ya hela.
 
As long as tunapata K hakuna tatizo mkuu. Wanaume tumeletwa duniani kwa sababu hiyo mkuu
Don't u forget that
Ni sahihi nikisema kuwa umetushauri tutafute fedha za kununulia wanawake (ambao kimsingi ni makahaba)?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…