Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Notification gani yake niione wakati Yuko kwa ignore list tayari shamtia kwenye dustibin, huwezi anzisha mahusiano na mtu mwenye personality disorder utegemee jipya. Huyo akafie huko na huyo ka mwanaume mwenzenu mpelekeni mirembe akatibiwe acheni kumtia ndimu huyu na depression zake
 
We ulisikia wapi Cariha anataka kuwa na [emoji848]
Ngoja nikae kimya[emoji23][emoji850][emoji850][emoji850]
Maana nisije Liza watu humu[emoji1787]
Hahaaa Hawa wapashkuna Wana mtia mwenzao ndimu na mifano irrelevant kabisa
 
Hahaaa Hawa wapashkuna Wana mtia mwenzao ndimu na mifano irrelevant kabisa
Wanawaza kwamba wewe baadaye uje udate na huyo msafwa!!!!!
Aki ya Nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si bora mtu ufe single[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe Niko JF ka sehemu ya kujifunza Mambo na sio kutafta mahusiano na wagonjwa wa akili walioshindikana na maisha yao. So hyo ya love never kabisa over my deadbody loh.
Hafu huo mfano wako ni irrelevant maana Mimi msingi na olevel nimedunda Sana wanaume waliokuwa hawajielewi na hawajawahi dhubutu kuongelea ujinga wa mahusiano kabisa sembuse JF.
 
Wanawaza kwamba wewe baadaye uje udate na huyo msafwa!!!!!
Aki ya Nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si bora mtu ufe single[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa Hawa wasafwa wa mporoto wanao undergo human evolution eeeh not me kwa kweli. JF ni social media na sio sehemu ya mahusiano kila mtu akafie mbali na stress zake. Tena humu wagonjwa ni wengi wanaohitaji tiba
 
Hahaaa Hawa wapashkuna Wana mtia mwenzao ndimu na mifano irrelevant kabisa
No Mimi sijakuongopea kabisa
That shit really happened to me

Alafu It's very Good kind of LOVE Serious am telling you, I have experience with it Hao wenzio wanakutia tuu Moto

Kuna Msemo unaosema
"Wagombanao Ndio wapatanao " [emoji2]
 
Okay Sawaa.
 
Mkuu haya mambo yapo. Mimi ilinitokea nikiwa form nyoko.

Kuna demu alinichukiaga bila sababu yoyote. Yaani nikifika kwenye kikundi cha watu Kama yupo anasepa muda huo huo.

Tukiambiwa tutaje majina ya wasumbufu na wezi wa darasa lazima anitaje, ajabu hakukuwepo na ushahidi wa Mimi kuwa mwizi au msumbufu.
Alikuwa ananifanya kila aina ya fitina na Mimi nikajaa mkenge tuwa bitter rivals wa darasa.
Ajabu ni siku alihamishia dawati lake kwenye row niliyokuwepo...anawaambia wenzie "huyu nitakaa naye beneti hadi anikome"
Mwisho wa siku nilielewa jinsi hii michezo inavyochezeka....haina formula ya kueleweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…