Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Hii comment yako inathibitisha hoja yangu.

Kumbe ushaanza kuvuta hadi picha ya kukutana naye? Tena unawaza hadi 'bastola'?[emoji28] .... vizuri sana.

Licha kwamba unatuzuga ni mgonjwa wa akili lkn huko uliko ukiona notification yake kuna nati zinalegea....ungekuwa na akili timamu usingejisumbua machana hadi usiku wa manane kumjibu mtu unayesema ana ugonjwa wa akili.

Haya ni mambo ya kawaida kabisa, hata marafiki wa jinsia moja walioshibana ni wale walioanzia kwenye ugomvi.

Yaani unakutana na mtu siku ya kwanza mnagombana halafu baadae mnakuja kuwa marafiki wakubwa. Imewahi kunitokea mara kadhaa.

Vita kama hii mnayofanya hapa usiku na mchana nakuwa nazo makini maana nazielewa zinakoishiaga.

Manaonekana mna mengi in common, nature ikiwa upande wenu mtakuja kujipatanisha kwa njia ya vikojoleo na ndio utakuwa mwisho wa vita.
Notification gani yake niione wakati Yuko kwa ignore list tayari shamtia kwenye dustibin, huwezi anzisha mahusiano na mtu mwenye personality disorder utegemee jipya. Huyo akafie huko na huyo ka mwanaume mwenzenu mpelekeni mirembe akatibiwe acheni kumtia ndimu huyu na depression zake
 
We ulisikia wapi Cariha anataka kuwa na [emoji848]
Ngoja nikae kimya[emoji23][emoji850][emoji850][emoji850]
Maana nisije Liza watu humu[emoji1787]
Hahaaa Hawa wapashkuna Wana mtia mwenzao ndimu na mifano irrelevant kabisa
 
Hahaaa Hawa wapashkuna Wana mtia mwenzao ndimu na mifano irrelevant kabisa
Wanawaza kwamba wewe baadaye uje udate na huyo msafwa!!!!!
Aki ya Nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si bora mtu ufe single[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani Mkuu hata Mimi Nimetoka kusema huko juuPiga ua Galagaza hawa cariha na Samcezar wakikutana Live Lazima Sana kuwe na MAUPENDO ya kufa Mtu Aiseee

Mfano Mimi wakat niko Darasa la Sita na Saba kuna Demu furan tulikua haipiti wiki hatujapigana yani hivyo yani Mara anisemee kwa Mwalimu Nipigwe, Mara anifichie vitu vyangu, Mara anicheke, Yani Alimradi Tafrani pale. BUT THERE WAS A LOVE THERE. At the end of school tukawa tukoclose tunanunua msosi tunakula Pamoja tunaondoka wote shule

Tulikuja Date Vizuri After Form Four [emoji2][emoji2][emoji2]

Watake/Wasitake huo Ndio Ukweli
Na Nyie Wengine Acheni Ukorofi si Mkaushe [emoji38][emoji1]
Wewe Niko JF ka sehemu ya kujifunza Mambo na sio kutafta mahusiano na wagonjwa wa akili walioshindikana na maisha yao. So hyo ya love never kabisa over my deadbody loh.
Hafu huo mfano wako ni irrelevant maana Mimi msingi na olevel nimedunda Sana wanaume waliokuwa hawajielewi na hawajawahi dhubutu kuongelea ujinga wa mahusiano kabisa sembuse JF.
 
Wanawaza kwamba wewe baadaye uje udate na huyo msafwa!!!!!
Aki ya Nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si bora mtu ufe single[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa Hawa wasafwa wa mporoto wanao undergo human evolution eeeh not me kwa kweli. JF ni social media na sio sehemu ya mahusiano kila mtu akafie mbali na stress zake. Tena humu wagonjwa ni wengi wanaohitaji tiba
 
Hahaaa Hawa wapashkuna Wana mtia mwenzao ndimu na mifano irrelevant kabisa
No Mimi sijakuongopea kabisa
That shit really happened to me

Alafu It's very Good kind of LOVE Serious am telling you, I have experience with it Hao wenzio wanakutia tuu Moto

Kuna Msemo unaosema
"Wagombanao Ndio wapatanao " [emoji2]
 
Wewe Niko JF ka sehemu ya kujifunza Mambo na sio kutafta mahusiano na wagonjwa wa akili walioshindikana na maisha yao. So hyo ya love never kabisa over my deadbody loh.
Hafu huo mfano wako ni irrelevant maana Mimi msingi na olevel nimedunda Sana wanaume waliokuwa hawajielewi na hawajawahi dhubutu kuongelea ujinga wa mahusiano kabisa sembuse JF.
Okay Sawaa.
 
Yani Mkuu hata Mimi Nimetoka kusema huko juuPiga ua Galagaza hawa cariha na Samcezar wakikutana Live Lazima Sana kuwe na MAUPENDO ya kufa Mtu Aiseee

Mfano Mimi wakat niko Darasa la Sita na Saba kuna Demu furan tulikua haipiti wiki hatujapigana yani hivyo yani Mara anisemee kwa Mwalimu Nipigwe, Mara anifichie vitu vyangu, Mara anicheke, Yani Alimradi Tafrani pale. BUT THERE WAS A LOVE THERE. At the end of school tukawa tukoclose tunanunua msosi tunakula Pamoja tunaondoka wote shule

Tulikuja Date Vizuri After Form Four [emoji2][emoji2][emoji2]

Watake/Wasitake huo Ndio Ukweli
Na Nyie Wengine Acheni Ukorofi si Mkaushe [emoji38][emoji1]
Mkuu haya mambo yapo. Mimi ilinitokea nikiwa form nyoko.

Kuna demu alinichukiaga bila sababu yoyote. Yaani nikifika kwenye kikundi cha watu Kama yupo anasepa muda huo huo.

Tukiambiwa tutaje majina ya wasumbufu na wezi wa darasa lazima anitaje, ajabu hakukuwepo na ushahidi wa Mimi kuwa mwizi au msumbufu.
Alikuwa ananifanya kila aina ya fitina na Mimi nikajaa mkenge tuwa bitter rivals wa darasa.
Ajabu ni siku alihamishia dawati lake kwenye row niliyokuwepo...anawaambia wenzie "huyu nitakaa naye beneti hadi anikome"
Mwisho wa siku nilielewa jinsi hii michezo inavyochezeka....haina formula ya kueleweka.
 
Back
Top Bottom