Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Kama ana mtoto basi hayupo kwenye mada. Maana mtoto anaye na anajiweza huyo ni wakishua tayari.
Life support ya mtoto na yeye anaimudu.
Me naongelea bongo zaidi kwa nchi za wenzetu sina tatizo nao kabisa ndo mifumo yao
Kweli kabisa.

Ila mm sioni ni kwann mwanamke apate stress sababu kakosa mume na umri unaenda. Ni lazima wanawake wajifunze kuwa si lazima kuolewa maana wanaume wengi siku hizi wamebaki na mashine tu. Na heshima ya ndoa ni jamii ndo inaikuza kwa kuwa tumeukuta huo utamaduni.
 
Yaani comments zako mwenyewe ulizokuwa unajadiliana na Daby umeshazisahau mara hii na wakati umeziandika mwenyewe muda mfupi tu uliopita!

Uliyeandika mabank teller si ni wewe mwenyewe!
Kweli wewe hamnazo
Nimezungumzia kuhusu wadada wanaofanya kazi bank. Bank zipo vitengo vingi kuna customer service office, kuna hao matter, loan officer, bank office mannager, operation manager na bank manager. Daby alizungumzia kuhusu hao ma teller 3 nilio waona lakini me sioni kama matter ndo wemye mishahara midogo. Hata customer service officer wana misharaha midogo.

Hivi huja wahi kutana na watoto wa kishua wale ambao wapo kule kitengo cha treasure. Mishahara yao ni minono alafu wengi wapo HQ. Wengi wao ni watoto wa kishua wazazi wao wapo huko juu kwenye madirectors.
 
Watoto wameharibiwa na wazazi wao mnataka kutusingizia tuu sie wagegedaji huku mtaani.
Nenda kwa watoto hao wa shule na uone kitakachokupata.
Na kuanzia sasa utakapowagusa tu unanaswa ili na wewe ukaguswe ukienda ndani waharibifu nyie.
 
Watu akili ndogo ndo huhangaika na ndoa aisee siku ukikaa na jamii nyingine Hilo jambo Wala halina mashiko Sasa mleta nada angekutana na watu wa hvo sijui angefanyaje huku watu wamecremisha ndoa na kuzaa Kuna jamii Hilo swala halipo kabisa
Heshima ya ndoa ni huku kwetu kwa wapare, wachaga, wasukuma n.k utapata usumbufu kutoka kwa bibi uchagani, au babu usukumani kuwa unaolewa lini.... Kama huna hao watu huwezi pata usumbufu unless una marafiki wa aina ya babu, bibi na shangazi zako.
 
Kweli kabisa.

Ila mm sioni ni kwann mwanamke apate stress sababu kakosa mume na umri unaenda. Ni lazima wanawake wajifunze kuwa si lazima kuolewa maana wanaume wengi siku hizi wamebaki na mashine tu. Na heshima ya ndoa ni jamii ndo inaikuza kwa kuwa tumeukuta huo utamaduni.
Heshima ya mwanamke ni ndoa na itabaki hivo siku zote.
 
Nimezungumzia kuhusu wadada wanaofanya kazi bank. Bank zipo vitengo vingi kuna customer service office, kuna hao matter, loan officer, bank office mannager, operation manager na bank manager. Daby alizungumzia kuhusu hao ma teller 3 nilio waona lakini me sioni kama matter ndo wemye mishahara midogo. Hata customer service officer wana misharaha midogo.

Hivi huja wahi kutana na watoto wa kishua wale ambao wapo kule kitengo cha treasure. Mishahara yao ni minono alafu wengi wapo HQ. Wengi wao ni watoto wa kishua wazazi wao wapo huko juu kwenye madirectors.
Umeona Sasa usivyo na akili.
Umeanza kuleta mada ya bank ndani ya mada nyingine.
Na hii yote ni kujaza tu Uzi wako
kijana tafuta hela
 
Kinywaji toka kwa Last Born?! Hapana aisee manake isije hapo baadae kitu kidogo tu "we si nilikupa soda yangu wewe!" Aaaaargh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani first born
Unakataa ofa yangu???
Mimi huwa sikumbushii[emoji1787],nikikupa nimekupa .
 
Back
Top Bottom