Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Kama mwanamume una ndoto za kuoa, umri mzuri wa Ke ya kuoa ni 19-25.

Huo umri bado ni samaki mbichi, unaweza kumkunja utakavyo.
Zaidi ya hapo ujiandae maana tayari keshakuwa nunda. Above 25 kuna uwezekano keshakutana na masahibu mengi kitu kitakachomfanya angie kwenye mahusiano kwa kujihami.
Kwanza mwanamke hadi akifika 25 kuendelea ukikuta amedate na mtu mmoja tu muda wote ni miracle. Wengi wanakuwa na foleni ya maX.

Kuna wa one nyt stand, wale walikuwa wanapiga pumbu tu, kuna wale walikuwa wanahonga tu, then kuna wale waliotumia ambush yaani kapiga leo kesho demu hata haelewi ilikuwaje.....

Ndio maana vijana sikuhizi hawaoni ufahari wa kufanya harusi maana hauwezi jua kuwa miongoni mwa wataokuja kwenye sherehe watakuwa ni watu waliokwishalala na huyo mwanamke.

Aisee kuna ufahari na umaridadi ukioa mwanamke ambae umeanza nae wewe babu. Mtoto akikutazama anaona shebabi aliyenifungua.... Na wewe unaona mwanamke niliyeanza nae mimi.....

Hapo lazima mikosi ipungue katika ndoa.....

Unakuja unaoa wadangaji hawa wamjini mtoto wa kike miaka25 amepitiwa na wanaume sasa imagine unawapa watoto wako mama wa aina gani....

Imagine na sisi mama zetu wangekuwa hawajakulia age ya maadili. Wawe wamepitiwa na wazee tofauti tofauti. So mzee unakatika kijiwe cha watu wazima unasikia watu wanamzungumzia mama yako kuwa walishamla..... Seeeeeeeee ptuh wanawake wa sasa mtajibu nini kwa mola......
 
Kwa hii mentality labda ukaoe wewe tena marioo, shilole yule pale anagawa kama biscuit.

Nani kakwambia sisi wanaume tunashida na mwanamke mwenye elimu inayompa ujuaji badala ya kumpanua fikra na kuijua nafasi yake zaidi?!

Statistics don't lie, tazama uhalisia now days wanawake wanaokwenda shule wengi wao wanafeli kutambua roles zao, si katika malezi ya watoto, si katika majukumu ya nyumba na pia muhimu zaidi nafasi zao katika maisha ya ndoa na kwa mwanaume. Ndio maana wanaishiwa kupigwa pumbu na wanaume za watu, kuzalishwa na kuongeza idadi ya single mothers mtaani.

Wewe bishana na uhalisia kujifurahisha ila the day ukweli utakapokamilika katika macho yako hatutakuwa hapa kufanya tena discussion. Mimi nitakuwa na familia yangu wewe utaendelea na maisha umechagua.....
Hapa naongezea tena yaani hakuna Wannawake wajinga kama hawa walio enda shule isipokuwa wachache sana ambao ni wa kuwamulika kwa tochi ili uwaone.
 
Mtoa mada hujakutana na karaha ya kua na mahusiano na vitoto vya miaka 20 to25 wewe....havijui chochote,akili zao zipo m.atakoni vinasumbua kweli...ukiwa na msichana 26+ angalau wanajitambua
Yeah wanajitambua coz washa pitia hizo changamoto.
Changamoto zipi naongelea za kutolewa usichana kisa tu peer groups. Kuwa na mahusiano kufurahisha watu. Kuumizwa. Ndio maana akifika 27+ anataka atulie. Anakupa mzigo kwa sababu anakuelewa
 
Yeah wanajitambua coz washa pitia hizo changamoto.
Changamoto zipi naongelea za kutolewa usichana kisa tu peer groups. Kuwa na mahusiano kufurahisha watu. Kuumizwa. Ndio maana akifika 27+ anataka atulie. Anakupa mzigo kwa sababu anakuelewa
Sasa shida yao iko wapi??
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Sio povu lazima tuwaambie ukweli mzibuke akili zenu kichwani, ujue wanaume wasio na mbele na nyuma ndio huhangaika na wanawake ili wajifariji mioyoni mwao badala ya kutafta maisha.
Kuna dada ni blog maarufu na nigeria ana hela zawadi kajipa range rover chakushangaza wanaume wasio na mbele Wala nyuma hata bicycle hawana wakawa Wana mshambulia na kumtusi. So kwa Africa wanaume wamepoteza uanaume wao asilimia zote
Wewe tu upo toxic most of the times... His topics huwa unaziingia kiupinzani sana....

Wewe unajua wazi kabisa kuwa kuna mienendo ambayo sio kwa wanawake ambayo inawaletea matatizo kimahusiano huko mbeleni. Why sasa unakuwa kimbelembele sana kuitetea hiyo mienendo.....?!

Kama hilo alilolizungumzia mleta mada sasa unavyobisha tukueleweje kuwa halipo au umeamua tu kubisha?!

Sisi tupo huku mtaani na maeneo ya kazi tunawaona wadada. Na tunapokuja kusemea hapa ni kwasababu inatuuma na hatupendi.

Unadhani wanawake wangekuwa wanajitunza, wanaingia katika ndoa na kuishi maisha ya staha kuna mwanaume angekuwa anawasema kwa ubaya....?!

Hebu uwe unatumia japo hata figo kufikiria kama umeona akili na upeo wa haya mambo hauna.... Huwa unaboa sana ila haujui msyuuuuuuuuu
 
Wadada wengi siku hizi haswa walio fika miaka 27 na kuendelea wanakuwa ni waoga sana wa kuachwa na uwoga wa maisha. Kiufupi wana kuwa desperate kiasi fulani.

Tusidanganyane ndoa kwa mwanamke ni kitu kikubwa sana. Kina mpa heshima katika jamii. Mwanamke anaye fika hadi umri wa miaka 30 bila ya kuolewa anaonekana kama alikuwa anauchezea ujana wake kwa kubadilisha wanaume. Ambao kwa namna moja au nyengine ina ukweli fulani.

Ushauri kwa vijana wenzangu tuwe makini sana kudate na hawa wanawake. Kama kweli umempenda kwa dhati basi vizuri lakini kama unapita tu bora umwambie ukweli. Wanawake wa rika hili wana kiu ya ndoa na kupata mtoto kwa hali ya juu.

Sisemi kwamba mwanamke anaye kuwa na 27+ kisa haja olewa ni mbaya hapana. Tena wengi wao wanakuwa ni watoto wa kishua, wanapesa zao na elimu zao. Swali linakuja nani ATAMFUNGA PAKA KENGELE. Maana itakuwa kama wewe ndo unaolewa sasa.

Ukidate na mwanamke wa umri wa 27+ kuwa makini haswa kama kwenu mko vizuri, hapo naongelea mwanamke kama anatokea familia ya chini au kawaida. Kama hutamzawadia mimba basi ndoa. Jipange kwa hayo mawili. Ukisema una test kama wamo au hawamo jua fika unajitafutia matatizo.

Kama hauko tayari kuingia kwenye ndoa au kupata mtoto kaa mbali na wanawake wenye umri unaokaribia 30. Utanishukuru baadae.


Bwashee unatuumiza ujue, wenngine tumeshanasa sasa tunafanyaje?
 
Watu akili ndogo ndo huhangaika na ndoa aisee siku ukikaa na jamii nyingine Hilo jambo Wala halina mashiko Sasa mleta nada angekutana na watu wa hvo sijui angefanyaje huku watu wamecremisha ndoa na kuzaa Kuna jamii Hilo swala halipo kabisa
Tatizo mie mvivu sna kuandika ila Jana tu nilikuwa naongea na jiran ni Prof kwenye Chuo UCT hapa Cape Town South Africa kikubwa alinieleza Tujifunze kuheshim misimamo ya wengine ww kwako ndoa watt muhimu mwingine kwake sio hivyo kikubwa ili tuweze kufika salama naomba nirudie tna Tujifunze kuheshim misimamo ya wengine...

Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Maisha lazima tushindane nayo. Enzi za mwanamke kukaa ndani kusubiri kupewa zilishaisha.

Enzi za mwanamke kuteseka baada ya mume kufariki kisa alikuwa Kakaa ndani analetewa tu ziliisha.

Sasa hv tunapambana. Unaweka mboga naweka ugali. Hao under 27 labda ndio desperate sababu hawajajijenga na wanaona maisha bila mwanamme hayaendi.

Over 27 is legit. Focused, ambitious and woke women.
The way unacomment inadhihirisha wazi kuwa haujaelewa ajenda ya mleta mada na wewe unajadili jambo jingine.

Mleta mada anawaambia wanaume kuwa wasicheze na akili za wadada waliofika umri wa kuanzia 27 kuendelea kwa maana hawa akina dada wapo katika kipindi kigumu sana cha maisha ya mausiano na wanahitaji support na si kuchezewa. So kama mtu anajua hayupo serious nao basi awaache asiwachezee waolewe na watu wanye nia.

Wewe umekuja na hoja tofauti ya kuzungumzia swala la wanawake na utafutaji wa pesa na mali katika kuanza maisha ya mahusiano.

Hivi unaona hizo hoja mbili zinaingiliana....?!


Hebu usiwe unatumia mihemko, tumia akili na ufocus.... Kubishana hakukufanyi kuwa mwerevu bali unabakia na upumbavu kwenye maisha yako.
 
Ukiwa mkweli sharti usiogope mapovu. Mwanamke anakuwa kwenye kilele cha uzuri wake akiwa kwenye umri kati ya 18+30.
Kama unataka mwanamke wa kuoa ambaye atakuheshimu na kukufurahisha otea kwenye 18-25.
Mungu mwenyewe alimteu mwanamke amzaye Yesu pindi Bikira Maria alipokuwa kwenye 17-19, akiwa bado mbichi kabisa....sasa wewe unaenda kuokota wastaafu wa 30-40 umekuwa nyumba ya kutunza wazee?
Hizi kashfa sasa

Eti wastaafu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwa hii mentality labda ukaoe wewe tena marioo, shilole yule pale anagawa kama biscuit.

Nani kakwambia sisi wanaume tunashida na mwanamke mwenye elimu inayompa ujuaji badala ya kumpanua fikra na kuijua nafasi yake zaidi?!

Statistics don't lie, tazama uhalisia now days wanawake wanaokwenda shule wengi wao wanafeli kutambua roles zao, si katika malezi ya watoto, si katika majukumu ya nyumba na pia muhimu zaidi nafasi zao katika maisha ya ndoa na kwa mwanaume. Ndio maana wanaishiwa kupigwa pumbu na wanaume za watu, kuzalishwa na kuongeza idadi ya single mothers mtaani.

Wewe bishana na uhalisia kujifurahisha ila the day ukweli utakapokamilika katika macho yako hatutakuwa hapa kufanya tena discussion. Mimi nitakuwa na familia yangu wewe utaendelea na maisha umechagua.....
Pole Sana. But the fact Ni kwamba marriage institution haivunjwi na mwanamke tu.

Hiyo mentality yenu kwamba elimu ya mwanamke inamfelisha kwenye ndoa kwa kumsababisha asitambue role yake inachekesha sana.
 
Uko sahihi mno Mimi wengi wanaozalilisha wanawake humu ni choka mbaya, wanaume matured huwezi kuta wanabishana vitu vya hovyo na wanawake
So kwa mfano wewe kutokana na uchangiaji wako tukikuhisi ni mdangaji na mjasiliamwili tutakuwa tunakudhalilisha?!
 
The way unacomment inadhihirisha wazi kuwa haujaelewa ajenda ya mleta mada na wewe unajadili jambo jingine.

Mleta mada anawaambia wanaume kuwa wasicheze na akili za wadada waliofika umri wa kuanzia 27 kuendelea kwa maana hawa akina dada wapo katika kipindi kigumu sana cha maisha ya mausiano na wanahitaji support na si kuchezewa. So kama mtu anajua hayupo serious nao basi awaache asiwachezee waolewe na watu wanye nia.

Wewe umekuja na hoja tofauti ya kuzungumzia swala la wanawake na utafutaji wa pesa na mali katika kuanza maisha ya mahusiano.

Hivi unaona hizo hoja mbili zinaingiliana....?!


Hebu usiwe unatumia mihemko, tumia akili na ufocus.... Kubishana hakukufanyi kuwa mwerevu bali unabakia na upumbavu kwenye maisha yako.
Labda wewe ndo hukumuelewa.

And for that reason we are not on the same page
 
Back
Top Bottom