Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Sasa kama hajaolewa wewe kinakushughulisha nini... Si utafute wa 19 uoe... Kuna mtu kakukataza..

Acheni kushambulia ..wanawake... Hivi nyie wenyewe mmeoa.. au ndo mwanamke anajioa mwenyewe

Naona umeniquote [emoji28][emoji1]
Hivi Mbona Mnamaneno Machafu Sana Ninyi !?

Binafsi mada Nimeielewa Na Nimepata Somo, Wala hakuna aliewatukana Wanawake wenye Umri Mkubwa Ambao hawajaolewa I didn't do that

Acheni kubishana na UHALISIA wapo Wanawake wenye huo Umri Ambao wako DESPERATE (Kukata Tamaa) Na Ndoa Au Niseme Ndoa INAWAPASUA VICHWA, Kama Wewe Una Umri huo Na hauko Hivyo basi Ni Wewe na Maisha Yako ila MAJORITY Ni Wahanga wa hilo Sisi Wote Mashahidi Sina haja ya kuweka Mifano

Hivyo Basi Wanawake wa Namna hiyo
Hatutakiwi kuwahadaa kwa Namna yoyote ile Ni heri Umuache kuliko kumfanyia hivyo Maana Wewe huna hasara ila kwake it Might be Fortune

Umeniuliza Kinanishughulisha Nini kama Hajaolewa ?? Kinanishughulisha Sababu Mimi ni Sehemu ya JAMII yake Anaweza kuwa jirani Yangu, Msambaa Mwenzangu, Mtanzania Mwenzangu Au hata Ndugu yangu
 
Lazima uzi wa namna hii ujae hisia kali, nyuzi za hivi zinateka hisia za wengi.

Binafsi umri wa chini ya 28 sitaki hata kusikia(in terms of relationship), kwangu 28+ ndio umri sahihi wa kutongoza na kudate. Yaani mdada 30 hivi au 32 hivi hadi 45 kwangu ni sukari kabisa.

Ilà, to each his own!!!
 
Ukiwa mkweli sharti usiogope mapovu. Mwanamke anakuwa kwenye kilele cha uzuri wake akiwa kwenye umri kati ya 18+30.
Kama unataka mwanamke wa kuoa ambaye atakuheshimu na kukufurahisha otea kwenye 18-25.
Mungu mwenyewe alimteua mwanamke amzaye Yesu pindi Bikira Maria alipokuwa kwenye 17-19, akiwa bado mbichi kabisa....sasa wewe unaenda kuokota wastaafu wa 30-40 umekuwa nyumba ya kutunza wazee?

Hizi mambo mnazoweka huku kwenye really life kuzipata ni almost impossible Mkuu
 
Naona umeniquote [emoji28][emoji1]
Hivi Mbona Mnamaneno Machafu Sana Ninyi !?

Binafsi mada Nimeielewa Na Nimepata Somo, Wala hakuna aliewatukana Wanawake wenye Umri Mkubwa Ambao hawajaolewa I didn't do that

Acheni kubishana na UHALISIA wapo Wanawake wenye huo Umri Ambao wako DESPERATE (Kukata Tamaa) Na Ndoa Au Niseme Ndoa INAWAPASUA VICHWA, Kama Wewe Una Umri huo Na hauko Hivyo basi Ni Wewe na Maisha Yako ila MAJORITY Ni Wahanga wa hilo Sisi Wote Mashahidi Sina haja ya kuweka Mifano

Hivyo Basi Wanawake wa Namna hiyo
Hatutakiwi kuwahadaa kwa Namna yoyote ile Ni heri Umuache kuliko kumfanyia hivyo Maana Wewe huna hasara ila kwake it Might be Fortune

Umeniuliza Kinanishughulisha Nini kama Hajaolewa ?? Kinanishughulisha Sababu Mimi ni Sehemu ya JAMII yake Anaweza kuwa jirani Yangu, Msambaa Mwenzangu, Mtanzania Mwenzangu Au hata Ndugu yangu
Mambo yawatu...mnapenda kushadadia.. hamna yanayowahusu kabisa.

Hivi Wewe ungekua na familia yako na mambo yako yanakukeep busy.ungekuja kuanza kusimanga wanawake humu.
 
Ungesema "Wavulana tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+"

Sasa wanaume tusi-date na wadada wa 27+ kumbe ulitarajia tu-date na wenye umri upi?

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Lazima uzi wa namna hii ujae hisia kali, nyuzi za hivi zinateka hisia za wengi.

Binafsi umri wa chini ya 28 sitaki hata kusikia(in terms of relationship), kwangu 28+ ndio umri sahihi wa kutongoza na kudate. Yaani mdada 30 hivi au 32 hivi hadi 45 kwangu ni sukari kabisa.

Ilà, to each his own!!!

Ni kweli kabisa Mkuu
 
Kweli jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Njoo uchukue ofa wewe acha uoga [emoji23][emoji23][emoji23]
Basi wacha nije, lakini lazima nije na change yangu mfukoni for emmergence manake sifa yenu nyingine ni kususa!! Shaka yangu isije nikasusiwa bill ya kinywaji kisa tu sijakusifia!!
 
Basi wacha nije, lakini lazima nije na change yangu mfukoni for emmergence manake sifa yenu nyingine ni kususa!! Shaka yangu isije nikasusiwa bill ya kinywaji kisa tu sijakusifia!!
[emoji134]Ina maana siaminiki kiasi hiki?![emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]
Yaani 1st born unaniwazia hayo kweli!?![emoji23]Mimi si wa kukufanyia hayo
Usiponisifia nitanuna tu ila sitasusa bill Jamani [emoji1787][emoji23][emoji1787]
 
[emoji134]Ina maana siaminiki kiasi hiki?![emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]
Yaani 1st born unaniwazia hayo kweli!?![emoji23]Mimi si wa kukufanyia hayo
Usiponisifia nitanuna tu ila sitasusa bill Jamani [emoji1787][emoji23][emoji1787]
Last born mwenzako kesho anasafiri, sasa kwavile madingi wanaishi mbali na main road wakati anatakiwa kuondoka alfajiri; basi kanipigia kwamba anakuja kulala home!!!

Nimemwambia ashibe kwao huko huko kwa sababu there's no way naweza kupinda mgongo eti nimpikie yeye dume zima lisiloweza kutengeneza hata tambi!
 
Back
Top Bottom