Wanaume tuwe makini tuwapo na wake zetu kwenye mizunguko

Wanaume tuwe makini tuwapo na wake zetu kwenye mizunguko

Lakini bora muishie kula kwa macho hivohivo, kuliko kuvila kiukweli
 
We jamaa nahisi utakuwa ni Mhaya au Mjita...

Nilipoanza kusoma nikadhani "hilo gari lako linalotumia petrol" linahusiana na stori inavyoendelea kumbe umeandika kama mbwembwe...

Umenifanya nimkumbuke kibopa mmoja wa Kihaya aliyekuw anamuuliza mlinzi, "kwa magari yenye full tank tunapark wapi?"...


Stori ile ilikuwa ni kwa ajili ya kufurahisha baraza tu...hivyo ilikuwa ni muhimu ni iumbe kimzaha mzaha..mie sio mjita wala mhaya bana...ni Mtanzania halisi lakini.
 
Fahari ya macho haifilisi duka, ungemwambia tu my wife wako jinsi ulivyo data na umbo la kibantu!!
 
kaka kuna siku na mie kidogo inikute, kwani tulikuwa tunatoka kwenye mihangaiko mie na my wife wangu, wakati naendesha gari nikamuona binti kaumbika nilimpiga jicho mara 1 nikabaki namtathmini, kumbe wife ananitizama usoni na mie nikawa nishamstukia nikajifanya kama sijaona, basi ilimtoka mwenyewe du mume wangu umeona yule dada alivyoumbika nikajifanya kuuliza yuko wapi kumbe hajui mie nishamuona muda mrefu, kwani kuna siku tukiwa jangwani sea breeze nilishawahi pigwa kofi mpaka nikaona nyote kisa macho kung'ang'ania kwa binti 1 mrembo aliyekuwa anatoka kupata shower rain

Ha ha haaa! pole mkuu
 
kaka kuna siku na mie kidogo inikute, kwani tulikuwa tunatoka kwenye mihangaiko mie na my wife wangu, wakati naendesha gari nikamuona binti kaumbika nilimpiga jicho mara 1 nikabaki namtathmini, kumbe wife ananitizama usoni na mie nikawa nishamstukia nikajifanya kama sijaona, basi ilimtoka mwenyewe du mume wangu umeona yule dada alivyoumbika nikajifanya kuuliza yuko wapi kumbe hajui mie nishamuona muda mrefu, kwani kuna siku tukiwa jangwani sea breeze nilishawahi pigwa kofi mpaka nikaona nyote kisa macho kung'ang'ania kwa binti 1 mrembo aliyekuwa anatoka kupata shower rain

Ha ha ha bonge la kofi mpaka ukaona nyota kweli shemeji ni noma.
 
We jamaa nahisi utakuwa ni Mhaya au Mjita...

Nilipoanza kusoma nikadhani "hilo gari lako linalotumia petrol" linahusiana na stori inavyoendelea kumbe umeandika kama mbwembwe...

Umenifanya nimkumbuke kibopa mmoja wa Kihaya aliyekuw anamuuliza mlinzi, "kwa magari yenye full tank tunapark wapi?"...

Hawa jamaa kwa sifa ni kiboko.
Anataka kuwe na sehemu maalum ya kupaki magari ambayo tank la mafuta lipo full.
 
kaka kuna siku na mie kidogo inikute, kwani tulikuwa tunatoka kwenye mihangaiko mie na my wife wangu, wakati naendesha gari nikamuona binti kaumbika nilimpiga jicho mara 1 nikabaki namtathmini, kumbe wife ananitizama usoni na mie nikawa nishamstukia nikajifanya kama sijaona, basi ilimtoka mwenyewe du mume wangu umeona yule dada alivyoumbika nikajifanya kuuliza yuko wapi kumbe hajui mie nishamuona muda mrefu, kwani kuna siku tukiwa jangwani sea breeze nilishawahi pigwa kofi mpaka nikaona nyote kisa macho kung'ang'ania kwa binti 1 mrembo aliyekuwa anatoka kupata shower rain

Dah pole,wife wangu akiona mdada kapendeza huwa ananishtua baba nanii angalia kitu hicho kilivyopendeza,bac huwa nampotezea kimtindo but sijajua ana maana gani.
 
Nyie vijana mna matatizo sana. Mnawafanya wanawake ni mbumbumbu wasio na uwezo wa kujua kuwa mnawadanganya. Kwa taarifa yenu hawa jinsia pinzani wako "advanced" kuliko sisi kwenye mambo ya mahusiano ya jamii. Ukiona kanyamaza siyo kwamba kakubaliana na maelezo yako ya uongo bali amekubali yaishe.
 
Siku hizi hizo shida hakuna baada ya mambo ya smartphone, wife pembeni anahangaika na whatsapp au insta we unapiga zako chabo wala hata hatajua nani kapita nani umemwangalia.

Zamani kuangalia mpaka upitie kwenye site mirror, maana kifaa kikionekan wife anakuangalia machoni kuona kama utaangalia.

hahahaaaaaaaaa,,,, haws wake zetu wamezaliwa na mama mmoja,,,, wewe ukiwa umekodoa macho kuangalia uumbaji uliotukuka,,, na yy kakutumbulia macho mbaya sana......hahahahaaa,,, na mikono ya ilivyo miepesi kufyatuka ni balaa....
 
Back
Top Bottom