Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi kati nikiwa na wife wangu katika mizunguko ya hapa na pale town ghafla akapita dada mmoja amevalia skirt nyeusi fupi mno na high heels bila shaka dada yule atakuwa mtu wa kusin kwani alikuwa na umbo la kibantu haswa na mrefu wa haja.
Nilikuwa kwenye speed ndogo ghafla nikajikuta nasema Dah shiiit, huku nikimtolea macho yule dada ni kama vile nilikuwa sikumbuki nipo wife pembeni taratibu wife akaniuliza Baba nini shida? Ikabidi nibadili topic.''Nikamwambia pumbaf kabisa hivi umeona huyu dada kitu alichavaa? Kwanini wanawake mnashindwa kujiheshimu lakini, uvaaji gani huu na siku mke wangu uvae hivyo walahi nakupa talaka siku hiyohiyo"
Wife kiupole akadhani kweli nimekasirishwa na uvaaje wa yule dada kumbe nilistaajabu umbo na uzuri aliokuwa nao yule dada, akaniambia lakini wanaume wengine ndio wanawapendaga wanaovaa hivyo. Nikaongeza kwa sauti ya ukali "hakuna kitu wife uvaaji gani huu wa kijinga kabisa bwana.
Story zikabadilika toka hapo tukaendelea na mambo yetu moyoni nasema leo ningeshtukiwa sijui ingekuaje? Dada zangu chonde chonde na vivazi vyenu jamani.
Ila mimi nilishangaa uumbaji uliotukuka tu.
We jamaa nahisi utakuwa ni Mhaya au Mjita...
Nilipoanza kusoma nikadhani "hilo gari lako linalotumia petrol" linahusiana na stori inavyoendelea kumbe umeandika kama mbwembwe...
Umenifanya nimkumbuke kibopa mmoja wa Kihaya aliyekuw anamuuliza mlinzi, "kwa magari yenye full tank tunapark wapi?"...
Hii ndo jf bhaana!!!!Ha ha haaaa!! umenikumbusha tulikuwa tunaenda moshi mjini na brother wangu sasa tulikuwa tuko watatu, mimi ,brother pamoja na mke wake, ila mke wake alikuwa amekaa siti ya nyuma alafu amenyamazaaaa kimya muda mrefu sisi ndio tunapiga story!
tukasimamishwa na trafiki wa kike pale KIA kwakweli alikuwa mzuri yule dada masikini nadhani ndio alikuwa anaanza kazi maana hata kuuliza maswali alikuwa anaogopa! alipoturuhusu tuondoke tukaanza kumsifia yule dada,
ghafla broo akasema 'NAKWAMBIA MOSHI KUNA WATOTO ASIKWAMBIE MTU" ghafla tukashtulia na sauti ya shemeji ikisema "NDIO MAANA MLIKUWA MNANILAZIMISHA MNISHUSHE KWETU NISALIMIE NA NYIE MUENDE KWENYE MIHANGAIKO,
KUMBE NDIO MIPANGO YENU KUJA HUKU MOSHI LEO KWA WATOTO" kimya kikatawala kidogo ila brother alirudi na topic mpya tena kwa ukali, "sasa unachokasirika ni nini!!? si nikweli kila kona MOSHI utaona watoto wanaenda shule!!? kila kona hebu ona wale kule eenhh ona wee ona tu mwenyewe kila mahali ni watoto wako busy na kwenda shule"
Juzi kati nikiwa na wife wangu katika mizunguko ya hapa na pale town ghafla akapita dada mmoja amevalia skirt nyeusi fupi mno na high heels bila shaka dada yule atakuwa mtu wa kusin kwani alikuwa na umbo la kibantu haswa na mrefu wa haja.
Nilikuwa kwenye speed ndogo ghafla nikajikuta nasema Dah shiiit, huku nikimtolea macho yule dada ni kama vile nilikuwa sikumbuki nipo wife pembeni taratibu wife akaniuliza Baba nini shida? Ikabidi nibadili topic.''Nikamwambia pumbaf kabisa hivi umeona huyu dada kitu alichavaa? Kwanini wanawake mnashindwa kujiheshimu lakini, uvaaji gani huu na siku mke wangu uvae hivyo walahi nakupa talaka siku hiyohiyo"
Wife kiupole akadhani kweli nimekasirishwa na uvaaje wa yule dada kumbe nilistaajabu umbo na uzuri aliokuwa nao yule dada, akaniambia lakini wanaume wengine ndio wanawapendaga wanaovaa hivyo. Nikaongeza kwa sauti ya ukali "hakuna kitu wife uvaaji gani huu wa kijinga kabisa bwana.
Story zikabadilika toka hapo tukaendelea na mambo yetu moyoni nasema leo ningeshtukiwa sijui ingekuaje? Dada zangu chonde chonde na vivazi vyenu jamani.
Ila mimi nilishangaa uumbaji uliotukuka tu.
Ila wanaume tulio wengi tunaangalia uumbaji tu natuna mtukuza Mungu kwa kazi nzuuuur.HaahahahhhahHhii imeshanikuta na mr.ukitembea nae tu anaangalia totoz mpaka anakata shingo kwa kumsindikiza mpaka umshitue siipendi hii tabia kabisa
Sasa kama sifa zote ulizotaja ninazo yeye kwanin aseme wow?samahani kama nitakosea kuandika ila nataka kukuuliza je your wife akimwona handsome boy with six packs wide chest and strong arms and if she says WOW....how would you feel?
Ila wanaume tulio wengi tunaangalia uumbaji tu natuna mtukuza Mungu kwa kazi nzuuuur.Haahahahhhah
Na tena jinsi wanawake walio wengi wanaamin kila anaendesha gari ana pesa wala hawakatai ukiwa na gari...Hawajui somtyms umeweka mafuta ya buku 10 na mfukon uko na buku 7 tu.Ila kuna wanaume huwa akiwa na nia atamuwinda mpaka aingie kwenye anga zake unacheza na pepo la ngono
Hahahaaaa hiyo nakubaliana nawe mkuu kwa asilimia zoteeeeeee wakati mngine mabinti ni balaa kwa pesa hasa wa kanda fulani hahaaa naomba nisitaje wazazi wao huwafundisha kuolewa na mwanaume mwenye pesa asiye na pesa mzee hakufanyii shereheNa tena jinsi wanawake walio wengi wanaamin kila anaendesha gari ana pesa wala hawakatai ukiwa na gari...Hawajui somtyms umeweka mafuta ya buku 10 na mfukon uko na buku 7 tu.
You nailed it......Wacha mi nikae pemben :eyebrows:Hahahaaaa hiyo nakubaliana nawe mkuu kwa asilimia zoteeeeeee wakati mngine mabinti ni balaa kwa pesa hasa wa kanda fulani hahaaa naomba nisitaje wazazi wao huwafundisha kuolewa na mwanaume mwenye pesa asiye na pesa mzee hakufanyii sherehe
You nailed it......Wacha mi nikae pemben :eyebrows:
kaka kuna siku na mie kidogo inikute, kwani tulikuwa tunatoka kwenye mihangaiko mie na my wife wangu, wakati naendesha gari nikamuona binti kaumbika nilimpiga jicho mara 1 nikabaki namtathmini, kumbe wife ananitizama usoni na mie nikawa nishamstukia nikajifanya kama sijaona, basi ilimtoka mwenyewe du mume wangu umeona yule dada alivyoumbika nikajifanya kuuliza yuko wapi kumbe hajui mie nishamuona muda mrefu, kwani kuna siku tukiwa jangwani sea breeze nilishawahi pigwa kofi mpaka nikaona nyote kisa macho kung'ang'ania kwa binti 1 mrembo aliyekuwa anatoka kupata shower rain