Wanaume tuwe makini tuwapo na wake zetu kwenye mizunguko

we hatari sana,,ungemweleza wife ukweli kwani na wao wanasafishaga macho wanapomuona binti mkali .
 

Hhii imeshanikuta na mr.ukitembea nae tu anaangalia totoz mpaka anakata shingo kwa kumsindikiza mpaka umshitue siipendi hii tabia kabisa
 

Hahaaaaa
 
Hii ndo jf bhaana!!!!
 

La muhimu nikutunza kumbukumbu tu unaweza kukurupuka kusawazisha kumbe umeshajisahau ulichosifia
 
samahani kama nitakosea kuandika ila nataka kukuuliza je your wife akimwona handsome boy with six packs wide chest and strong arms and if she says WOW....how would you feel?
 
Hhii imeshanikuta na mr.ukitembea nae tu anaangalia totoz mpaka anakata shingo kwa kumsindikiza mpaka umshitue siipendi hii tabia kabisa
Ila wanaume tulio wengi tunaangalia uumbaji tu natuna mtukuza Mungu kwa kazi nzuuuur.Haahahahhhah
 
samahani kama nitakosea kuandika ila nataka kukuuliza je your wife akimwona handsome boy with six packs wide chest and strong arms and if she says WOW....how would you feel?
Sasa kama sifa zote ulizotaja ninazo yeye kwanin aseme wow?
 
Ila wanaume tulio wengi tunaangalia uumbaji tu natuna mtukuza Mungu kwa kazi nzuuuur.Haahahahhhah

Ila kuna wanaume huwa akiwa na nia atamuwinda mpaka aingie kwenye anga zake unacheza na pepo la ngono
 
Ila kuna wanaume huwa akiwa na nia atamuwinda mpaka aingie kwenye anga zake unacheza na pepo la ngono
Na tena jinsi wanawake walio wengi wanaamin kila anaendesha gari ana pesa wala hawakatai ukiwa na gari...Hawajui somtyms umeweka mafuta ya buku 10 na mfukon uko na buku 7 tu.
 
Na tena jinsi wanawake walio wengi wanaamin kila anaendesha gari ana pesa wala hawakatai ukiwa na gari...Hawajui somtyms umeweka mafuta ya buku 10 na mfukon uko na buku 7 tu.
Hahahaaaa hiyo nakubaliana nawe mkuu kwa asilimia zoteeeeeee wakati mngine mabinti ni balaa kwa pesa hasa wa kanda fulani hahaaa naomba nisitaje wazazi wao huwafundisha kuolewa na mwanaume mwenye pesa asiye na pesa mzee hakufanyii sherehe
 
Hahahaaaa hiyo nakubaliana nawe mkuu kwa asilimia zoteeeeeee wakati mngine mabinti ni balaa kwa pesa hasa wa kanda fulani hahaaa naomba nisitaje wazazi wao huwafundisha kuolewa na mwanaume mwenye pesa asiye na pesa mzee hakufanyii sherehe
You nailed it......Wacha mi nikae pemben :eyebrows:
 
Una akili ya fasta sana mdau hongera bibilia ilishaandika ishini na wake zenu kwa akili' ww unaweza big up.
 
Mim siku hizi nshmzoesha tukiona uumbaji uliotukuka namshtua au siku nyengine ananshtua ye mwenywe coz anajua ntaishia kuangalia tu halaf yanapita
 

Duh Mkuu ulikula Kofi kwa sababu ya chabo!
 
Ungemwambia waifu mumpige picha ili upate ushahidi wa vitu ambavyo hupaswi kufanya. Sigara huwa zinabadikwa onyo "hatari kwa afya yako" Picha ingeandikwa hatari kwa usalama wa ndoa yako.Next time mshawishi wife upige picha mkikutana na binti aliyeumbika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…