Wanaume tuwe makini tuwapo na wake zetu kwenye mizunguko


You can say that again.....
 
Mi naangaliaga kupitia side mirrors. Ukijaribu vunja shingo waweza sikia kofi la shavu.
 
kwani yeye hana sifa zote alizokuwa anazo yule dada uliyemwona?
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hahahaha hommie, nlishajisahau nikampigia demu honi ili kuusifia utukufu na uumbaji wa Mungu... Nlistukia napigwa bao la kisogoni. Tangu siku hiyo bajaji yangu nimeitoa honi kabisa.
Hahahahahahaha[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hahahahaha humesikika
 
Haaaaaahaaaaaa haaa umenivunja mbavu
 
Unacheka!! kama sio broo kubadili mwelekeo wa mazungumzo navyomjua shemeji yangu ni nooma mbaya angelianzisha tungemuacha kwenye gari mwenyewe!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaha hommie, nlishajisahau nikampigia demu honi ili kuusifia utukufu na uumbaji wa Mungu... Nlistukia napigwa bao la kisogoni. Tangu siku hiyo bajaji yangu nimeitoa honi kabisa.
Haaaaah haaaah haki uku jf kuna vitukoo ungevunjwa kisogo
 
Kusafisha macho ruksa kwa ss me kwani zinajenga ufanisi kichwani na masuuziko ya dunia hii isiyo timilifu...
 
macho hayana pazia jamani.

wake zetu tuacheni tu tule kwa macho wanawake wenzenu ndio chanzo.

mapigo ya sikuhizi si mchezo.
 


Asante Mungu kwa kuniumba mwanaume.
 
I
 
Ahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…