Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ni kujiremba basi ila niwajuze tu asili ya mwanaume sio kutengeneza magomvi yasiyo na misingi tumieni hekima kutoa maoni kama uzi unavyoeleza mtakuja kutoa maoni mabovu kwa popobawa alafu mshindwe kusimulia yatakayojiri.Mwanaume kunyoa kwa elfu 12 kwa mwezi huko ni kujiremba fata ushauri anaokupa jamaa
3,000 zinanitosha mwezi mzima,Wembe wa Laser II wenye nyembe 5,nanyoa ndevu mara 3 kwa wiki,nywele mara 2 kwa wiki....Habari wakuu,
Kama heading inavyoeleza hapo juu, nataka kufanya research binafsi ili nione kama kuna kipya katika matumizi na gharama zetu katika maisha yetu ya kila siku, Nikisema kipya ni kujua kama kuna uwezekano wa watu wanaotumia gharama sana, gharama za kawaida (kati) au kuna za chini kabisa n.k
Nitaanza na mimi, binafsi napenda sana kuwa smart all the time hivyo napenda kuwa on point kila mara so nimekuwa mtu wa kuchagua sana vinyozi na ubaya ninapoishi hamna saloon zile za high level (Barber Shop) hivyo kutokana na hilo huwa kuna kinyozi wangu natokaga mitaa mitatu kumfuata kwaajili ya kazi hiyo, Kutokana na suala hilo la umbali imebidi nijipe ratiba ya kunyoa na full head mara mbili tu kwa mwezi ambapo huwa nalipia 10,000 huku beards na ndevu nikiwa nashave kila baada ya siku 5 hapahapa mtaani ambapo nalipia Tsh. 500 tu.
Kwa hesabu hiyo hapo juu mimi hujikuta natumia Tsh.11,500 - 12,000 kwaajili ya kushave kila mwezi.
Wewe je?
[emoji23][emoji23][emoji23]Kunyoa na kujiremba wapi na wapi mzee!!! Kama ubongo ume-stuck tikisatikisa kichwa ndo uwe unatoa maoni
Yani we uwe popo bawa? Popo bawa gani ananyoa kwa tsh 12,000/=? Popo bawa ni sisi tunaonyoa kwa buku kwahiyo kuwa makiniHaya ni kujiremba basi ila niwajuze tu asili ya mwanaume sio kutengeneza magomvi yasiyo na misingi tumieni hekima kutoa maoni kama uzi unavyoeleza mtakuja kutoa maoni mabovu kwa popobawa alafu mshindwe kusimulia yatakayojiri.
Pole kwa kuachanaB... ona kile nakuambiaga Mdakuzi
Yani mwanaume kila week upo saloon...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]• Nunua machine yako, shave ukiwa nyumbani,
• Alafu masuala ya kujiremba remba mtoto wa kiume haijakaa poa [emoji41]
Kwani kuachana imekuwa msiba jamani? Mi nishasahau zamani, najilia raha tu sasa hivi 😄Pole kwa kuachana
Nywele za kichwani unanyoa vipi?Ni Bora ku shaver mwenyewe kuliko saloon
Kuachana sio kitu kizuri,ndio maana nimekupa poleKwani kuachana imekuwa msiba jamani? Mi nishasahau zamani, najilia raha tu sasa hivi 😄
Hata hivyo, asante.
Mie ni rasi sinyoiNywele za kichwani unanyoa vipi?
Shaver ya nini?Mie ni rasi sinyoi
Kona ya kwenda wapiKuleeeeee kwenye kona
Kwa mpalange....Kona ya kwenda wapi