Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Acha kujiremba dunia imeharibika hii hadi papa karuhusu watoto mchelemchele muoleweSawa, na wewe uache shobo ubingwa haurudi ukishavuliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kujiremba dunia imeharibika hii hadi papa karuhusu watoto mchelemchele muoleweSawa, na wewe uache shobo ubingwa haurudi ukishavuliwa
Hahaa una kipar@Mimi nanyoa mara4 na kila kunyoa ni jero hivyo natumia 2000
Kumbe unajua hivyo sasa ndo upunguze kutenga budget ya kujirembaNi sawa unachosema mkuu ndo maana nakushauri kwa kuwa najua ukipoteza ubingwa wako kwa sababu ya shobo utajilaumu sana.
Ubingwa haurudi ohooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Buku 1 kwa mwezi,
Unaweza uone utani kumbe serious
Naenda na Mashine yangu Ndevu na Kichwa,
Kuna Babershop ya Buku 5 hapo hapo ila ni huduma nzuri na midada ila Ufundi kichwani Zero,
Na mimi kwenye kunyoa kikubwa Ndevu,
Ucheze nazo vizuri, Nisitoke vipere(hii sijui imekaaje kuna sehemu nyingine vipele nyingine hutoki)
Lakini pia niwashauri wale wenye ndevu,
Msijikwakungue sana wazee,
Unakutana na mtu anakwangua kidevu kila asubuhi, Kidevu kinakua kama ukoko wa pilau.