Wanaume, unatumia gharama gani ku-shave kwa mwezi?

Mwanaume kunyoa kwa elfu 12 kwa mwezi huko ni kujiremba fata ushauri anaokupa jamaa
Haya ni kujiremba basi ila niwajuze tu asili ya mwanaume sio kutengeneza magomvi yasiyo na misingi tumieni hekima kutoa maoni kama uzi unavyoeleza mtakuja kutoa maoni mabovu kwa popobawa alafu mshindwe kusimulia yatakayojiri.
 
3,000 zinanitosha mwezi mzima,Wembe wa Laser II wenye nyembe 5,nanyoa ndevu mara 3 kwa wiki,nywele mara 2 kwa wiki....
 
3,000 zinanitosha mwezi mzima,Wembe wa Laser II wenye nyembe 5,nanyoa ndevu mara 3 kwa wiki,nywele mara 2 kwa wiki....
mkuu ndevu nikinyoa na nyembe naona zinaleta mapele
 
Haya ni kujiremba basi ila niwajuze tu asili ya mwanaume sio kutengeneza magomvi yasiyo na misingi tumieni hekima kutoa maoni kama uzi unavyoeleza mtakuja kutoa maoni mabovu kwa popobawa alafu mshindwe kusimulia yatakayojiri.
Yani we uwe popo bawa? Popo bawa gani ananyoa kwa tsh 12,000/=? Popo bawa ni sisi tunaonyoa kwa buku kwahiyo kuwa makini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…