Akili sana hiyowe naye useme no money wala matunzo hadi ndoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili sana hiyowe naye useme no money wala matunzo hadi ndoa
Pumbavu sanaMimi sipindushi msimamo wangu
Having sex is like lowering my standards
Sizini mm
Na hela zao ntakula
Mi nnavyoogopa kubeba majanga nkaishi nayo milele bora nionje njue kiu itakua inakatwa kwakwel. Dunia imeharibikaHabarini,
Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza unaonaje swala la no sex till marriage (aki hint kwamba ukitaka u-sex nae ni hadi umuoe).. wadada wengi tu sahivi nikiwatongoza wananipa majibu haya sijui wananionaje..
No sex till marriage, ni idea nzuri kidini lakini wakuu is it worth waiting..
Kwa wadada, ni kila mwanaume anaewatongoza mkamkubali mnamwambiaga hakuna sex hadi ndoa, au kuna baadhi ya wanaume mnawaambiaga hivyo.
Melancholic Lamomy mzabzab Natafuta Ajira Xi Jinping Zemanda Chakorii To yeye Zuleykha Miss Natafuta Madame B Strong and Fearless The redemeer Mwachiluwi Poor Brain DeepPond cocastic Mzee wa kupambania ephen_ GENTAMYCINE
Bwawa ni maumbile ya mtu mtu kama huyo inabid akutane na mguuu wa mtoto huwez kusikia bwawaKwaiyo nyuchi kubwa sababu ni nini mkuu
Si mnasemaga kutumika sana ndio sababu au Leo Hii mmeifuta
Mnatuchanganya aiseeeBwawa ni maumbile ya mtu mtu kama huyo inabid akutane na mguuu wa mtoto huwez kusikia bwawa
Kwa mfano mimi nlishawah kusikia sehem flan bwawa ila nlivyoipitia nkaona iko tight kabisa kutokana na maumbile yanguMnatuchanganya aiseee