Pia huu mtindo wa kutafunana kabla ya ndoa umeshika kasi sana na umekuwa kama jambo ambalo limehalalishwa, ndio maana ukiona mawazo ya walio wengi wanaunga mkono kwa asilimia zote.
Haha lol sikutegemea kauli kama hii kutoka kwa mwanamke...atahakikisha vipi kama ipo au haipo
Anaweza kuwa sio bikra ni kweli lakini bikra akawa aliipoteza kabla hajamjua Mungu
Hao ndo chenga Kuliko Unavyodhanii...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Hata hao walioshikamana na dini ni wanafiq tu,akikwambia hivyo eti mpaka uniowe muulize bikra anayo?Kama kweli alikuwa ameshikamana na Mungu wake then hiyo bikra aliipeleka wapi!
Wa hivi wanakuwaga na vibwana vyao uchwara vinavyowagonga ila wewe ukiingia na gear ya kuowa wanajifanya kukubania ili usimuone malaya sana,dawa na wewe ingia kihuni huni wazo la kuowa lifanye la baadae.
Duh....Dawa ya moto ni moto. Hii inaitwa mwaga ugali nile mbogaMimi aliniambiaga anayo ila mpaka ndoa nikamwambia poa ika nionjeshe kwanza mara 1 bembeleza weee akakubali siku nakuja kula mzigo naweka chombo kinapita bila tabu dah nikasema hapa ingekula kwangu [emoji23][emoji23] nikapiga za mkwezi anaondoka ananiambia chini kunauma mara kafika kwao eti anaona damu kwenye pichu. ila hadi leo anasema mm ndio niliemtoa ila binafsi sijawahi amini hilo jambo sema now ni mjeda huko mkoani kila mtu alikula 50 zake, kanipa bikra feki nimempa ahadi feki.
Niko nyanda za juu kusini.Mrembo vp bado upo chang'ombe Dodoma?
Sio Wote !!!
Nlitaka kukuona coz nipo dom hapaNiko ku
Niko nyanda za juu kusini.
wewe kijana mdogo tu, vipi lakini ile makombora yako ya nuclear missile, ama trump amekuwa kiboko yako
Ä AZ daytaratibu mkuu
Mkuu naona unauzoefu wa kutoka kapa [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hello guys,
There is nothing wrong kama mdada ameamua kutofanya s*x na wewe mpaka umuoe, kiutamaduni na kidini ni sahihi, lakini shida ni kuwa wadada wengi wanaosema hivyo hawako honest utakuta anakwambia kuwa let's wait till marriage, wakati huku pembeni ana kidume kingine ambae anapewa wakati wewe the man of the match huambulii hata busu
Wadada wanaosema hivyo (ukitoa wale walioshika dini kiukweli) wana kuwa hawajavutiwa na wewe, kwahiyo kukupa papuchi anaona kero, lakini yupo na wewe kwa kuwa una pesa au kwa sababu nyingine anazojua yeye isipokuwa mapenzi.
Source: uzoefu wangu
Huwa wanaangalia sura kwanza za kuwaambia hivyo!hasa wasukuma ndio wahanga wakubwa[emoji23]Hello guys,
There is nothing wrong kama mdada ameamua kutofanya s*x na wewe mpaka umuoe, kiutamaduni na kidini ni sahihi, lakini shida ni kuwa wadada wengi wanaosema hivyo hawako honest utakuta anakwambia kuwa let's wait till marriage, wakati huku pembeni ana kidume kingine ambae anapewa wakati wewe the man of the match huambulii hata busu
Wadada wanaosema hivyo (ukitoa wale walioshika dini kiukweli) wana kuwa hawajavutiwa na wewe, kwahiyo kukupa papuchi anaona kero, lakini yupo na wewe kwa kuwa una pesa au kwa sababu nyingine anazojua yeye isipokuwa mapenzi.
Source: uzoefu wangu
Ndio furaha yako sio!Mademu hawapendi kondomu siku hizi nimemvusha mtoto guest baada ya kula kitimoto nikatoa kondomu akaitupia chini ya uvungu[emoji16][emoji16]
Usijidanganyee ila 90% ndo wapo hivyooo...
Ndio lakini 90% pia sio wote....means kuna 10% walioshika dini na kumuheshimu Mungu hivyo hawafanyi hayo.
Sure mkuu,Miaka mitatu nyuma kuna mdada mmoja nilituma maombi yangu kwake akakubali shida sasa eti halambwi mpk ndoa mtu mwenyewe ukimuangalia kajitoboa toboa maskioni ka mcheza shoo wa akudo nikatemana nae.Walioshikamana na Dini angalau, ila wengine ni chenga tu..