Wanaume wa Dar tumechoka kudharaulika!

Unajua nyie mmetofautiana.

Kuna mnaotaka show za kibabe na wanaotaka pesa. Yani show ni nothing.


Sasa huku dsm tunawataka hao kundi la pili.
Mnawataka au ndo inabidi iwe hivo amigo
Nguvu za kutafuta na manati
 
Kwa hiyo wanaume wa dar kazi yao kusoma Ramani na kuvusha watu Barabara? Hehehe unajitukanisha zaidi
 
Sasa mbona tukija mikoani videmu vyenu vinatushobokea?
 
Aakh.mmechoka kila kitu kiboko yenu ni Simba wa kimasai na kichaga.
 
mi wamenionesha kitu kipya sikuwahi kukiona mkoani, kusukuma wanawake ili wawahi siti ya gari.... Happy new year wanaume wote wa darrrr
Hapo na mimi nilichoka nilipoliona hili, tena wanakaa kwenye siti wakati mama mtu mzima anaelingana hata na mamake mzazi amesimama[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Wanaume wa dar hawali mipilipili mbuzi sijui pilipili kichaa ili iweje?? atoe ulimi nje kama mbwa au[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wao wanakuambia chachandu buana Mara ya kwa mpemba,Mara ya kwa sadamu makuku,sijui ya mamboz wanajua mitaa yote. Chedhea wa daslama wewe [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wananimaliza na msemo wao "kwetu dar" [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aaaaaagh cheers boys and men from daslama

Evelyn Salt
 
Maserat haya maneno yako au,anyway poa tuu ntakusubiri kule maeneo yetu tuu.
 


Kwani uwongo....hata takwimu za kuishiwa nguvu za kiume na mashoga zinawaelemea wanaume wa Dar. Mfano jiangalie wewe mwenyewe (kitumbotala), mtumbo kama huo unategemea kuwa na nguvu za kiume za uhakika kweli? Wengi wenu mnakuwa mashoga baada ya kukosa hizo nguvu za kiume mnaona bora mshikishwe ukuta. Mwanamme wa Dar anaweza kuona mtu anaonewa kwa kupigwa atakimbia na kupita mtaa wa pili huku akimcheka.
 
Maserat haya maneno yako au,anyway poa tuu ntakusubiri kule maeneo yetu tuu.
Jomoni jomoni, usiseme hivo. Gonga cheers kwanza.
Mi nawaelewa sana wanaume wa dar hamjui tu. Na mnavopenda juice za miwa zenye tangawizi na hiriki. Waache wanawaonea wivu wa mkoa wanakomaa na mafundo ya mua mpaka midomo ina chanika.
Cheers[emoji482]
 
Hapo na mimi nilichoka nilipoliona hili, tena wanakaa kwenye siti wakati mama mtu mzima anaelingana hata na mamake mzazi amesimama[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Yani hata kibibi kinashika bomba kusimama, wanaume wamekaa....wanaume wa dar sio wa mchezo
 
Jomoni jomoni, usiseme hivo. Gonga cheers kwanza.
Mi nawaelewa sana wanaume wa dar hamjui tu. Na mnavopenda juice za miwa zenye tangawizi na hiriki. Waache wanawaonea wivu wa mkoa wanakomaa na mafundo ya mua mpaka midomo ina chanika.
Cheers[emoji482]
Leo hii itakuwa agenda yangu kwenye lile jukwaa la popooooZ ili unieleweshe vizuri.
 
Na chachandu za dar za kipekee, mkoani hupati acha tu mkoani wawalimie pilipili zije dar watengenezewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…