Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
Mkuu hata masaa 24 hufikishi!!! [emoji23][emoji23]Bora huyo wa week mimi masaa 17 tu usipokubali natupa huko
Natafuta mwingine. Ma Feminist wamejazana kila kona kwann ni attach my strings to you
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji44][emoji44]
Upendo wapi kizaz hiki kinachohusudu pesa zaid ya lolote?Wengine tunahitaji upendo, sio wote wanategemea hela za wanaume 🙄
We ya nn kujitesa hivyo pussy zimejaa kote huko weee no way bro 😁Mkuu hata masaa 24 hufikishi!!! [emoji23][emoji23]
Aisee mimi nimegundua sipendwi kazi kuombwa hela tu nikimuita gheto haji inawezekana kuna mwingine anapewa tu mzigo .Ukiona unatumia mda kumpenda mtu ujue unajilazimisha, Ile kitu ni automatical the first sight
Kwan wee unadhn one night stand na strangers nyng huwa zinapigwaje?
Mtu humjui hakujui nnakutana kwny bus na mnakulana
Thread closed!This is the game of timing. Ulichokisema ni sawa kabisa and the vice-versa is true. Hata wanawake imagine mmekutana hata wiki haijaisha anaanza kukuomba hela. Boys kuweni makini.
In short ukiona mwanaume amekutongoza halafu akakuomba game any time soon, ujue kuna udhaifu kwako kauona au hicho ndio kilichomfanya akutongoze.
Kitu msichojua wanawake kuhusu sisi vidume ni kwamba, ninaweza kukutongoza kwa nia nzuri kabisa. Ila mazungumzo yetu na the way unavyo behave naweza ku conclude kua hapa ni penyewe au hakuna kitu hapa.
Sasa itokee niwe na conclusion nzuri ila nikiona hapa hakuna kitu huwa hatuwaambii wala hatuwapotezei ila tunataka walau tuchape ndio tukuache uende.
So be careful unapotongozwa. Kuombwa ngono inawezekana ni matokeo ya ulivyo jiweka. Nimekutongoza leo kesho kutwa unaomba pesa. Wewe unaweza kufikiri unanitega uone kama nitaweza kukuhudumia ila tafsiri yetu huwa ni tofauti kabisa. Kitakachofua nitakupa pesa unayoitaka ila huku nikiweka mazingira ya kupata game as soon as possible.
Win win situation
Sio mbaya, kawaida sana[emoji4]Hii ni mbaya sana [emoji23][emoji174]
Mwaga madini mkuuNnachoamini Mimi kimahusiano,
Mwanamke anaenipenda lazm atakua na feelings na Mimi, feelings hizo ni pamoja na kua nyeg na Mimi.
Kama Huna nyege na Mimi,Basi huna hisia na Mimi,
Hivyo Haina kupepesa jibu ni hunipendi,unanitumia
Sasa nani akubal kua bwege kutumika for nothing.
Ni Mwendo wa nipe nikupe,No pussy no money
Uwezi kuvua,Kila mtu abaki na anachoona kinamfaa[emoji4]
Watu hawana mda wa kupoteza[emoji16]Hakuna tofauti kati ya binadamu na ng'ombe.
Hata kuku jogoo wana afadhali. Utakuta kajogoo kanam care jike hadi unaona wivu. Binadamu sasa, hiiiiiii kwakweli! Kazi ipo
Inakuaga hivyo mkuu,Aisee mimi nimegundua sipendwi kazi kuombwa hela tu nikimuita gheto haji inawezekana kuna mwingine anapewa tu mzigo .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole kwa kukutana na Magume gume
Wajinga waliwao 😁Aisee mimi nimegundua sipendwi kazi kuombwa hela tu nikimuita gheto haji inawezekana kuna mwingine anapewa tu mzigo .
Nachukua hii mkuuNnachoamini Mimi kimahusiano,
Mwanamke anaenipenda lazm atakua na feelings na Mimi, feelings hizo ni pamoja na kua nyeg na Mimi.
Kama Huna nyege na Mimi,Basi huna hisia na Mimi,
Hivyo Haina kupepesa jibu ni hunipendi,unanitumia
Sasa nani akubal kua bwege kutumika for nothing.
Ni Mwendo wa nipe nikupe,No pussy no money
Uwezi kuvua,Kila mtu abaki na anachoona kinamfaa[emoji4]
Sasa jaman... Ulitaka akae kama anasubir majibu ya kazi, me mwanamke anaenicheleweshea mzingo ndio namkazaga alafu namwacha, anaewaisha huwa namweshimu sana hata akilia shida me huwa mwepesi kusaidiaDamn! Unakuta mtu analeta yale mambo ya awwww una kashape kazuri, Eti nimekuota leo (wet dreams)😤💔 na hamjazoeana
Naona unasagia kunguni kweli kweli.
🤣🤣🤣🤣🤣 hako katabia kama unacho kaache mnaumiza watu
Hii no.3 imenikumbusha mbali sana na kwake nilikuwa naenda nalala kabisa[emoji2960]Wanawake wa ajabu sana. Atakua na wanaume kama wanne ivi.
1. Anahudumia na penzi hapewi
2. Anahudumia penzi anapewa kwa mgawo
3. Hahudumii chochote na anapewa penzi full time, hapa ndipo mwanamke anajimwaga hata tigo atatoa. Yaan badman, hapa hata vipigo hutembezewa.
4. Ahadi ya ndoa. Huyu anafanana na no 1 isipokua yeye kapewa ahadi ya ndoa. Hapa ndo wanajifanya watakatifu wanaheshimiana hawataki kuvunja utaratibu wa mapenzi kabla ya ndoa.
Wiki ni nyingi aisee, mm nikikutongoza ukanikubalia mda huo huo naomba mzigo ukininyima tunaachanaWanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee[emoji174] Ladies kuweni makini ... Imagine mtu mmekutana hamna Hata week ameshaanza kuleta stories za Mapenzi [emoji36][emoji119]