Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Pole
 
Sasa kama kila mtu kafunga pm na hajibu pm,hawa mabazazi watatafuna mahindi mwaka huu?
Tuwahurumie basi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] etiiu
 
Shunie kuna mijitu mishamba kweli kweli mitindiga sijui ya wapi asa akionekana anawajua watu inasaidia nini kwa mfano,ushamba wa kiwango cha lami
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani amu acha tu
 
Heeeeee , mi bado nna kamba mguuni, ...lahaulaaa kumbe izi ndo mambo zinazoendelea humu
Doooh !![emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Sasa nilikuwa na mpango wa kuja PM kwako. Kwahyo ndio ushaifunga?
 
nyie muwe mnaringa hivyo hivyo, itafika kipindi hata mambo hupewi, husalimiwi utajiona umekuwa muhenga nn? na wanaume nao Kuanzia mtaani hadi huku PM ziko Off ........ tumia chuma kikiwa still kiko Hot


kwanza hii kufunga PM ndo Tanzania pekee tunayo inatoa maana ya social forum, nambie mtandao upi una hii huduma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…