Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Nani huyo chief? Kwenye uzi wa hazard cfc kule JLW utakuta koment yangu nijibie kule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Umeniua kwa kicheko ujue
 
Hha
Hhaahaaaaa!!kaka usijali Mimi sina kinyongo yameisha one luv!

Hii mada hajanikuta ila yamewakuta wengine so nimeleta mawazo ya watu!Sina kinyongo na wewe na wala mwingine yoyote!
Maisha yaendeleee kaka!

Nami niwie radhi kama nimekuoffend sehemu yoyote au nimetumia lugha kali pia!
Sina haja ya kukuweka ignore list kwa sababu hujawahi hata nitukana wala kunisonta kivile.Yaweza kua mawazo yangu tu ndo yalikua mabaya so am sorry pia kwa hilo!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sina mikwara bwanaa!maisha yaendelee!!!
Nimekupenda bure
 
Hapo kwenye kuwajua watu hapo yaani hapo hapo yamenikuta mm mtu unakutana nae jukwaani anakwambia shunie nakujua ww khee umenijuaje kumbe kuna pugi anasambaza picha zangu

We kaka endelea tu kusambaza picha zangu sawa eenh hivi unalipwa kwa mfano ukisambaza picha za mtu haya unanisambazia picha zangu ndio kwanza wananisifia hawanipondi kama ulitaka waniponde imekula kwako na uendelee vizuri kusambaza picha zangu mfyuuuuuu zako

Nitarudi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]on [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] shunie waambie
 
Back
Top Bottom