Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Hapo kwenye kuwajua watu hapo yaani hapo hapo yamenikuta mm mtu unakutana nae jukwaani anakwambia shunie nakujua ww khee umenijuaje kumbe kuna pugi anasambaza picha zangu

We kaka endelea tu kusambaza picha zangu sawa eenh hivi unalipwa kwa mfano ukisambaza picha za mtu haya unanisambazia picha zangu ndio kwanza wananisifia hawanipondi kama ulitaka waniponde imekula kwako na uendelee vizuri kusambaza picha zangu mfyuuuuuu zako

Nitarudi
Imebidi nirudi kuisoma post yako!.. Hebu nitajie jina naenda Tunakodisha Bunduki nikadeal nae!.
 
Tangia nikuone jf nakupigia sana misele na pm zangu hujibu. Kumbe muoga.
Ila napenda uandishivwako. Love u
Ukiona sikujibu pm yako haujaandika maneno matamu.
Sasa unauliza mambo?
Nakujibu poa!
Unauliza mzima?
Nakujibu!
Unauliza tena kwema??
Pande zipi (TENA HILI SWALI NALICHUKIA SANA)

Ila wewe sidhani kama una maswali ya kijinga kama hayo.
I LOVE you too!!!
 
Ukiona sikujibu pm yako haujaandika maneno matamu.
Sasa unauliza mambo?
Nakujibu poa!
Unauliza mzima?
Nakujibu!
Unauliza tena kwema??
Pande zipi (TENA HILI SWALI NALICHUKIA SANA)

Ila wewe sidhani kama una maswali ya kijinga kama hayo.
I LOVE you too!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ukiona sikujibu pm yako haujaandika maneno matamu.
Sasa unauliza mambo?
Nakujibu poa!
Unauliza mzima?
Nakujibu!
Unauliza tena kwema??
Pande zipi (TENA HILI SWALI NALICHUKIA SANA)

Ila wewe sidhani kama una maswali ya kijinga kama hayo.
I LOVE you too!!!
Halafu anamalizia na "NIAMBIE" [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom