Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Shivo teach meMe nakupenda!. jiamini full charge!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shivo teach meMe nakupenda!. jiamini full charge!.
Imebidi nirudi kuisoma post yako!.. Hebu nitajie jina naenda Tunakodisha Bunduki nikadeal nae!.Hapo kwenye kuwajua watu hapo yaani hapo hapo yamenikuta mm mtu unakutana nae jukwaani anakwambia shunie nakujua ww khee umenijuaje kumbe kuna pugi anasambaza picha zangu
We kaka endelea tu kusambaza picha zangu sawa eenh hivi unalipwa kwa mfano ukisambaza picha za mtu haya unanisambazia picha zangu ndio kwanza wananisifia hawanipondi kama ulitaka waniponde imekula kwako na uendelee vizuri kusambaza picha zangu mfyuuuuuu zako
Nitarudi
Ukiona sikujibu pm yako haujaandika maneno matamu.Tangia nikuone jf nakupigia sana misele na pm zangu hujibu. Kumbe muoga.
Ila napenda uandishivwako. Love u
Watch n' Learn Punta!..Shivo teach me
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukiona sikujibu pm yako haujaandika maneno matamu.
Sasa unauliza mambo?
Nakujibu poa!
Unauliza mzima?
Nakujibu!
Unauliza tena kwema??
Pande zipi (TENA HILI SWALI NALICHUKIA SANA)
Ila wewe sidhani kama una maswali ya kijinga kama hayo.
I LOVE you too!!!
Hata mimi pia mkuuMe nakupenda!. jiamini full charge!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmhhh mniundie kikosi kazi cha mwanaume mbeya
Halafu anamalizia na "NIAMBIE" [emoji23][emoji23][emoji23]Ukiona sikujibu pm yako haujaandika maneno matamu.
Sasa unauliza mambo?
Nakujibu poa!
Unauliza mzima?
Nakujibu!
Unauliza tena kwema??
Pande zipi (TENA HILI SWALI NALICHUKIA SANA)
Ila wewe sidhani kama una maswali ya kijinga kama hayo.
I LOVE you too!!!
aaagh simu " sinilikuachia wewe" na dhani utakuwa" umeingia "kwenye ''acc" Yangu ''na kupost 'makusudi" ili uweze" kuniharibia tu''Umeamua kuvujisha siri.
haahaa" umeshakula mtoto mzuri""?Halafu anamalizia na "NIAMBIE" [emoji23][emoji23][emoji23]
How come you are so smooth?haahaa" umeshakula mtoto mzuri""?
haaaha ninja kangi acha zako bwanaHow come you are so smooth?
Please teach me.
shikamoo brotherWatch n' Learn Punta!..
duuuhh jamaa una phd ya mtongozo" naona unapiga miguu yote tu kama cristianoImebidi nirudi kuisoma post yako!.. Hebu nitajie jina naenda Tunakodisha Bunduki nikadeal nae!.