Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Watakuwa wanachukua ushauri kimya kimya.Teh yaani wanaomba namba tuuu, mtu hamjajenga urafiki unaanzaje kumpa namba? Wapunguze papara!
Hao wanakuwa hawajajipangaHhaha usinikumbushe ule uzi wa kuwasema wakaka wanaoomba namba afu hawakutafuti
Eti eeeh!! Hebu nitumie pesa kwakweli.
ha haa wewe nakujua mchungu wala siwezi kukutegaUnanihamishia kwenye kifanyio ili nihamasike unipune hela...acha fiksi miss chagga....
Wana mbio utadhani wanaoga nje, hawana patience hata kidogo.Teh yaani wanaomba namba tuuu, mtu hamjajenga urafiki unaanzaje kumpa namba? Wapunguze papara!
Kaka zangu mabazazi hao yaani acha kabisa.Mkuu ya kweli haya, kaka hawezi kuwa bazazi wanakupenda dada yao
Nina mpango wa kukukabidhi ATM card yangu na Password lakini tuu uniletee ile chupi yako uliyosema nisiilete hapa nitaitunza mchagoni kwanguEti eeeh!! Hebu nitumie pesa kwakweli.
Ila wapo very loyal eti wanamlindia shemeji yao? sijapata ona upendo wa kaka ukawa design hiyo aseeKaka zangu mabazazi hao yaani acha kabisa.
Ha ha haaa aWatakuwa wanachukua ushauri kimya kimya.
we uwe unapita kwa mani hapo kwenye target zangu kabisaHahahaha Bora iwe ivyo
ha ha ahha usiogope bwana nitakuonja tu upo salamaYani mimi swala nipite kwenye zizi la chui ama fisi kwa amani tu? huaminiki wewe unaeza nichenchia.... bora nikipita nisipite na wallet yangu tu
nakuahidi hutadhurika kuwa na amaniOhoooo, hapa ndo nagundua Mchagga ni mchagga tu...
karibu tenaAhsante Miss Money
Vitu gani hivyo unaongea mkuu!!! Kuna kaka zangu humu, kuwa na adabu.Nina mpango wa kukukabidhi ATM card yangu na Password lakini tuu uniletee ile chupi yako uliyosema nisiilete hapa nitaitunza mchagoni kwangu
Hapana, we katongoze tu. Ila uwe na utaratibu.Kwa hiyo mnataka kunikimbiza kweli hapa.