Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Kwani wanajf waingiao dodoma lazima wajiandikishe kwenye daftari lako? Au mi ndio sijaelewa[emoji1][emoji1][emoji1]
Huyu pesa yako tu...

Its cold out there? Basi kwa demiss ni joto muda wote ukiwa dom
 
Eti wanasema huwa wanafurahia comment zangu wanifananishe na mimi
Maskini wangejua mweeee D mwenyewe kasichana kadogo tu hakana mbele wala nyumaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Saivi wataogopa mambo ya kufunguliana uzi nani anayataka
 
Vitu vingine ni kuvichukulia simple, pengine anayeongea yupo mbali na tabia hizo, ameamua tu kuchemsha vichwa vya watu.
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Mzee mama mjini hpa huyo alifika hpo akakuchora kakuona haulipi..kasepa
 

Hahahahahahahah uwiiii nako.....
 
Pale mdangaji ANAPOKOPWA! Pole sana kama nakuona vile hasira zako za kutoboa kipochi chako.

 
Siku ya kutaka kumjua mtu wa humu kazi anayo maana nitarekodi hadi mkojo wake siku akinizingua kazi anayo ni mwendo wa mavideo tu humu 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
aise, astaafir llah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…