Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Wanaigiza maisha....?
 
Duh.....
 
Mbona povu la omo?Acha ujinga wewe.Alitoa mada za kuchemsha jamvi kama wengine wanavyofanya.Utapasua mishipa ya shingo bure na gubu lako.Mwanaume kuwa na kifua,unaaibisha jinsia ya "me"Hivi kwa akili yako unadhani wanaume wenye tabia hizi hawapo kweli au unajitoa akili na kujifanya hamnazo?

Tusipotoshane hapa.
 
Hahahahha kunywa soda hivi hujashangaa uzi mzima yuko peke yake anayebwabwajaa
 
Huyo alishakuona hapo Dom, akakuona sio type yake, akazuga amepata dharura, ungekua type yake, angekulamba siku iyo iyo, make najua uliinyoa kabisa.

🀣🀣🀣🀣🀣🀣aisee jf mtaniua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…