Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Wanaigiza maisha....?
Kuna mtu anajiquote mwenyewe humu[emoji23][emoji23]hatari sana[emoji23][emoji23]anatumia ID tatu ndani ya uzi huu huu mmoja[emoji57][emoji57]
Na bila shaka yeye ndie mlengwa kwenye hii thread. Anatumia uongo wake wa darasa la saba,.mara ooh naishi nje, mara nina pesa[emoji16][emoji28]kumbe likapukuu la kufa mtu!

Sasa bisha na hapa[emoji41](unajijua)
Nasema hivi....bisha na saivi nikuumbue[emoji57][emoji57][emoji57]
 
Duh.....
Tatizo si hilo Demiss ID zenu fake zinatuchanya hata mimi nilishamkimbia mmoja alipost picha kumbe ya kudownload mi nikampa fomu ya usajili ila machale yakanicheza wakati wa apointment nibebana sehemu ananipigia naona dude tofauti kifuani mtindo wa kufa nadhani bra ina mkanda wa ngozi tumbo limekatwa pingili na linaning'inia vitako kama konzi, mwenyewe anawig kwa kuwa nilimpa mshikaji simu ampigie mi nikawa hapo namcheki mdada ana ndefu.
Inawezekana Demiss HAULIPI. Kwanini asisepe?
 
Mjinga Sana anataka kufanya wanaume tuonekane hatufai humu, Sasa Kuna watu tunajikoki tutaleta uchafu wake na mapicha yake mpaka sehemu anapofanyia kazi.

Na kazi yake itakuwa hatiani aache ujinga, haiwezekani atuchafue kwa ujinga wake..wakati yeye anajiuza...
Mbona povu la omo?Acha ujinga wewe.Alitoa mada za kuchemsha jamvi kama wengine wanavyofanya.Utapasua mishipa ya shingo bure na gubu lako.Mwanaume kuwa na kifua,unaaibisha jinsia ya "me"Hivi kwa akili yako unadhani wanaume wenye tabia hizi hawapo kweli au unajitoa akili na kujifanya hamnazo?

Tusipotoshane hapa.
 
Hahahahha kunywa soda hivi hujashangaa uzi mzima yuko peke yake anayebwabwajaa
Mbona povu la omo?Acha ujinga wewe.Alitoa mada za kuchemsha jamvi kama wengine wanavyofanya.Utapasua mishipa ya shingo bure na gubu lako.Mwanaume kuwa na kifua,unaaibisha jinsia ya "me"Hivi kwa akili yako unadhani wanaume wenye tabia hizi hawapo kweli au unajitoa akili na kujifanya hamnazo?

Tusipotoshane hapa.
 
Huyo alishakuona hapo Dom, akakuona sio type yake, akazuga amepata dharura, ungekua type yake, angekulamba siku iyo iyo, make najua uliinyoa kabisa.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣aisee jf mtaniua
 
Back
Top Bottom