Ninani alisababisha mpaka single mother ikatokea kama siyo wewe? Acheni dharauKuna watu walio wahi kuwadate single mothers wakaenda poa, ila wengi mambo hayawi mazuri, halafu baba wa mtoto anaweza piga mzigo muda wowote.
Hata wewe single mother mwenyewe sidhani kama ungependa mtoto wako wa kiume aje alee mtoto asiye wake.
Pia uki date na single mothers unafanya double work, umfurahishe mama na mwanae.
*kuna wale ambao walio zaa nao walifariki wana la kujitetea, zaidi ya hapo wanawake kuweni makini siyo kila mwanaume wa kuzaa naye tu.
Nawasubiri waje mkuu maana wanachonga sana juu yetu
Usipate mimba, kuwa makini angalia mwanume wa kuzaa naye pia.Ninani alisababisha mpaka single mother ikatokea kama siyo wewe? Acheni dharau
Sababu ni nyingi labda nikupe chachekwa nini single mother's?........
Nawe una kumbukumbu kama mimi, safi mtani. Tuandae kazawadi ketu tumpelekee IlluminataHalafu naona siku hazikimbii...
Our Valentine's kid..
Sawaaaa,wewe andaaa tu coz siku hazigandi..Ni siku ya wapendanao, 14.02; naandaa zawadi.
Kihelehele chakeNinani alisababisha mpaka single mother ikatokea kama siyo wewe? Acheni dharau
Kwan na wewe ni single mother eti?Hellow JF,
Naomba kuwauliza wanaume mliopo humu JF, hivi single mothers waliwafanyia nini mlio wengi, mbona mnawaandama sana kila kukicha?
Naombeni mnijibu sababu thread zenu zinaumiza sana pia zinachosha as long as sio wote walipenda kuwa single mothers wengine iliwabidi tu, au mlitaka wafanye abortion kuepuka kuwa single mothers?
Ngoja niache tuu maana naweza haribu thread nzima....Babu naay ...
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kweli jf ni kichaka, na hapa ndipo jf inachanganya.
Maana ulicho kiandika ni tofauti na I'd yako aiseeee.....
mkosi kivipi?Single mother thamani yao ni ndogo sana....wakati mwingine ni mkosi kuwa na uhusiano na single mother
Haha ucjal we nitakupenda tuu wala sitaku dateSawa,hata wao hawakutaki pia!
Hellow JF,
Naomba kuwauliza wanaume mliopo humu JF, hivi single mothers waliwafanyia nini mlio wengi, mbona mnawaandama sana kila kukicha?
Naombeni mnijibu sababu thread zenu zinaumiza sana pia zinachosha as long as sio wote walipenda kuwa single mothers wengine iliwabidi tu, au mlitaka wafanye abortion kuepuka kuwa single mothers?
Ahaha upendo wa chalii unatoshaaaaaHaha ucjal we nitakupenda tuu wala sitaku date
Wewe ndo waona hivo,sumu!walimuua nani labda?Single mother ni sumu hata msijaribu kuwaoa.
Wanafaa kwa matumizi ya binadamu ya binadamu tu.
By the way tunawapenda single mom mana wengine shemeji zetu wakwe Best na ndo Tunakutana nao na wako open kama Illuminata hahaAhaha upendo wa chalii unatoshaaaaa
Hata msipowapenda jus fine but muache kudis coz nobody knows tommorow pengine you daughters,sisters or ndugu wa karibu wakaja kua single mom so punguzeni mukhariBy the way tunawapenda single mom mana wengine shemeji zetu wakwe Best na ndo Tunakutana nao na wako open kama Illuminata haha
Single mother alichonifanyia siri yangu,hadi leo sina mapenzi ya kweli kwa wengine.Wewe ndo waona hivo,sumu!walimuua nani labda?