Wanaume wa JF, single mothers waliwafanyia nini?


Mjomba hakuna jambo nisilopenda kama kufuga mateka
 
Ngoja wahucka hao unaowalalamikia waje wakujibu .... sie wengne twakosa majibu coz hatujawah rusha hivo vjembe japo ni wanaume pia wa JF ....
 
Amen.
 
Kwani walishikiwa kisu ili watiwe mimba

Si waliachia mzigo wenyewe[emoji2]

Tema mate chini kijana, haya maisha hayana formula hakuna aijuae kesho isipokuwa Mungu peke yake, mshukuru sana Mungu kama umepata malezi ya baba na mama, lakini si hiyo kauli uliyoiandika hapo.... hakuna mtoto anaependa kulelewa na mama peke yake wala hakuna mama anaependa kulea watoto peke yake, dunia hii ni mapito ati, Mungu akusaidie sana
 
Achana nao wasikuumize kichwa Bora Mimi single mother najitambua na jamii inajua hivyo kuliko wao wanalea watoto wa wanaume wenzeo bila kujua, na wamelelewa na ma Baba ambao si wao

hahahahahahahahahaaha baelezee
 

thumbs up
 
Hakuna haja ya kuwachukulia vibaya, wanaume wengi tuna watoto njeee. MTU kuwa na tabia mbovu ni yeye siyo kwamba wote wako hivyo. Pia kuna wengi wamelelewa na single mothers hao hao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…