Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,273
Tena kiporo chenyewe cha makande acha kabisa mkate hauoni ndani......Tatizo tunaogopa mambo ya kupasha viporo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena kiporo chenyewe cha makande acha kabisa mkate hauoni ndani......Tatizo tunaogopa mambo ya kupasha viporo
Me sio single mother ila nawaheshimu sana masingle mother woteEeeh!
Niko makini, ntaropokaje tuu, je wew ukiwa single mother! I dont want to eat my words one day.
mtu hakimbii mimba hivi hivi, labda aone unagawa kwingi kwingikwan kumimbwa ni adi ubakwe tuu??
wanaume mnakejel sana kisa hambebi mimba na wala hamzai so mkishatia mimba mnalala mbele.
ila jueni kwamba hayo ni matokeo yenu. Na ninaamin mpaka sasa mmeshaanza kuisoma namba kwa jinsi mnavyokimbizwa na wamama si kwa mwendo huu wa kuporomosha majumba na kununua magari ya kifahari. si kwa mwendo huu wa kusoma ninaouona kwa hawa akina mama
Hahaha, hata wahenga walisha sema
Wagombanao ndio wapashanao, kuna ile bond tuu iliyo kuepo hadi watu wakaona huwa haitoki ile
*japo si wote, ika wengi hufanya hivo
Hahaaaaahaaa!!pole sana Mkuu naona umeongea kwa uchungu sana. japo na mimi nshamfanya mtu kuwa single mother ila pia wasiwachukii kabisa masingle Mamaa
hao wanaume wenyewe wanagawa kwa wangapi?mtu hakimbii mimba hivi hivi, labda aone unagawa kwingi kwingi
Hahaa nyie tunawajua ka Bf kakisha kukosha siku mbili tuu unajiachia, ndio maana nikasema kuwa makini isitoke. Uki kaa na mtu ukamsoma tabia unajua kabisa kwenye kupenda usifungie akili.Sasa nikimjua unadhani nitaendelea nae?? Yaani huwa unajuaga too late, na mwanaume ambaye ni mpitaji likishatokea suala la mimba ndo anabadilika kabisa
eeh ashantee sana shemej languuu la nguvuuuHahaaaaahaaa!!
Kumbeee....!!!
Hongera!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahhh yaan ww mfyuuKweli jf ni kichaka, na hapa ndipo jf inachanganya.
Maana ulicho kiandika ni tofauti na I'd yako aiseeee.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]eeh ashantee sana shemej languuu la nguvuuu
Huwa tuko makini sana, ila sasa siku ya kufa nyani lazma miti yote iteleze mkuuHahaa nyie tunawajua ka Bf kakisha kukosha siku mbili tuu unajiachia, ndio maana nikasema kuwa makini isitoke. Uki kaa na mtu ukamsoma tabia unajua kabisa kwenye kupenda usifungie akili.
Dena we singo maza[emoji3]Tena kiporo chenyewe cha makande acha kabisa mkate hauoni ndani......
effect za mwanamke kugawa kwingi ni nyingi zaidi, nani anapenda kulea mtoto asiye wake?hao wanaume wenyewe wanagawa kwa wangapi?
acheni izo za kuwaona watu wabaya
sijambo shemej[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
shemeji hujamboo...?!!
Ndio tena "Senior Single Mother"Dena we singo maza[emoji3]
haya...!!sijambo shemej
Sawa ila ni wachche sana wako hivo.ugomvi hadi kupelekana mahakamani,kutukanana na kudhalilishana
big noo!!
Hata isiwe hvyo kile kitendo cha kuachana tayari yaani it's over btn us!
Siwezi kua na wewe tena!!
Kwa sababu siwezi kucheat!!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Ndio tena "Senior Single Mother"
Wapi tena "Mazigazi" bana kaa kaa kidogo basi tupige soga[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Tena wewe kama huna mtoto utaletewa sio wako.... na kama unaye DNA inakuhusueffect za mwanamke kugawa kwingi ni nyingi zaidi, nani anapenda kulea mtoto asiye wake?