Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
ndo hivyooo!!Sawa ila ni wachche sana wako hivo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo hivyooo!!Sawa ila ni wachche sana wako hivo.
Heheheheheh ila singo maza watamu sana wanafaa sana kula bila kachumbariWapi tena "Mazigazi" bana kaa kaa kidogo basi tupige soga
Ni kweli, ila pia usijiachie sanaHuwa tuko makini sana, ila sasa siku ya kufa nyani lazma miti yote iteleze mkuu
Sasa na wewe bana kuwa na msimamo basi mara "Tunafaa" mara "Hatufai" sikusomi ujue???Heheheheheh ila singo maza watamu sana wanafaa sana kula bila kachumbari
Yaani wanakupa vitu adimu ili usikimbie[emoji3]
mkuu tema mate chini, maneno huumba ujue!!!Tena wewe kama huna mtoto utaletewa sio wako.... na kama unaye DNA inakuhusu
Kama na wewe ni mmoja wao sema nikujibu!Hellow JF,
Naomba kuwauliza wanaume mliopo humu JF, hivi single mothers waliwafanyia nini mlio wengi, mbona mnawaandama sana kila kukicha?
Naombeni mnijibu sababu thread zenu zinaumiza sana pia zinachosha as long as sio wote walipenda kuwa single mothers wengine iliwabidi tu, au mlitaka wafanye abortion kuepuka kuwa single mothers?
Kwenye kwichikwichi nyie watamu sanaSasa na wewe bana kuwa na msimamo basi mara "Tunafaa" mara "Hatufai" sikusomi ujue???
Kumbe muoga eeehhh haya "Nafuta kauli yangu"mkuu tema mate chini, maneno huumba ujue!!!
Ha ha ha ha hapo nimecheka kwa nguvu aisee dah "CPA" si mchezo ila sii hivo bana kha!!!!Kwenye kwichikwichi nyie watamu sana
Ila kwa kuishi na nyie ni mtihani wa CPA[emoji2]
Iceman 3D ameshakujibu.Hellow JF,
Naomba kuwauliza wanaume mliopo humu JF, hivi single mothers waliwafanyia nini mlio wengi, mbona mnawaandama sana kila kukicha?
Naombeni mnijibu sababu thread zenu zinaumiza sana pia zinachosha as long as sio wote walipenda kuwa single mothers wengine iliwabidi tu, au mlitaka wafanye abortion kuepuka kuwa single mothers?
Na nyie ikitokea sio kukimbia majukumuNi kweli, ila pia usijiachie sana
hapo sasa tuendelee na maada🙂Kumbe muoga eeehhh haya "Nafuta kauli yangu"
Ha ha ha ha haya banahapo sasa tuendelee na maada🙂
AaahNa nyie ikitokea sio kukimbia majukumu
Single mothers ni bora mara 1000 kuliko wanaotoa mimba.Hellow JF,
Naomba kuwauliza wanaume mliopo humu JF, hivi single mothers waliwafanyia nini mlio wengi, mbona mnawaandama sana kila kukicha?
Naombeni mnijibu sababu thread zenu zinaumiza sana pia zinachosha as long as sio wote walipenda kuwa single mothers wengine iliwabidi tu, au mlitaka wafanye abortion kuepuka kuwa single mothers?