Ulimuona hb enheeee!!!Lakini Demi...! [emoji28]
Hivi lakini kwa nini mtu asijikubali tu alivyo, halafu tena kwa mwanaume huwa naona kinyume sana wakijibadili muonekano.
Inaonekana kabisa hawajiamini na kwa mwanaume haipendezi kwa kweli.
Kama juzi kati hapa nilimuona mkaka fulani mahala very handsome mwenyewe, halafu kaanza kuwa na gray hair zile zinatokeaga moja moja na wala hajazibadili. Lakini usoni anaonekana kama kijana mdogo tu.
Kwa kweli nilimu admire kwa kuonyesha ujasiri na grey hair zake bila kuficha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Yan dada acha kabisaaa mambo ya mitandaoni ni kama unachezaaa tatu mzukaaa maraaaa paaap unakutana na baba yakooo
Hahahaaa!! Na usiwe kembambaaaaaaa. Jitahidi tu si unajua love doesnt ask, usishangae hapa Mama Sabrina anatutisha kumbe G ni kama huyo namba mbili ila yeye anamuona ni na1Itabidi kujua sifa zinazotakiwa zaidi lkn kigezo kikubwa uwe HB sijui km ni rahisi kujijua.. Ngoja nimpende mmoja nione [emoji12] [emoji12]
Si kuna video call itakuumbua tu.Sema napo kuna wakati wanaume tunafeli bora usitume picha kuliko kutuma au kutumia isiyo yako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uwembamba mwiko.. kitambi kikae mbaliHahahaaa!! Na usiwe kembambaaaaaaa. Jitahidi tu si unajua love doesnt ask, usishangae hapa Mama Sabrina anatutisha kumbe G ni kama huyo namba mbili ila yeye anamuona ni na1
Bora uumbuke mapema kuliko kuishia getini km demiss alivomfanya mtu wa watuSi kuna video call itakuumbua tu.
AbeeeMama sabrina!View attachment 751488
Acha tu, nimecheka mpaaka! [emoji3]Hahahaah Nalendwa karibu huku uounguze stress
Nifollow mama upate rahaMama Sabby umenichekesha kwa huu Uzi. Sijui nilikuwa wapi siku ya tar 14 Feb
Ewalaaaa, namna hiyo.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uwembamba mwiko.. kitambi kikae mbali
Hahahaaaa!! Unapiga U turn ya hatari zinabaki vumbi tu.Bora uumbuke mapema kuliko kuishia getini km demiss alivomfanya mtu wa watu
Hahaahhaha oooo my unamuona huyu kazidi sana kamzidi kidogo tu G mwili ,body hivi hivi mama ara nyingi sikoseagiiHahahaaa!! Na usiwe kembambaaaaaaa. Jitahidi tu si unajua love doesnt ask, usishangae hapa Mama Sabrina anatutisha kumbe G ni kama huyo namba mbili ila yeye anamuona ni na1
Unaweza kujitoa jf aisee kukimbiwa kunasononeshaHahahaaaa!! Unapiga U turn ya hatari zinabaki vumbi tu.
Wa pili ana mbele na nyuma?Huyo wa kwenye picha ya kwanza mbona hana mbele wala nyuma
Kweli mzoe kipofu chongo anamuona mfalme
Hahah!, jamani si nimeshasema nikamu admire...[emoji28]Ulimuona hb enheeee!!!
Malizia story sio unatoa nusu nusu bwana[emoji85] [emoji85] [emoji85]
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Hahaahhaha oooo my unamuona huyu kazidi sana kamzidi kidogo tu G mwili ,body hivi hivi mama ara nyingi sikoseagiiView attachment 751500
Alafuuuuuu.....Hahah!, jamani si nimeshasema nikamu admire...[emoji28]
[emoji28] [emoji23]Alafuuuuuu.....