Wanaume wa Jf walivyo!...

Wanaume wa Jf walivyo!...

Lakini Demi...! [emoji28]

Hivi lakini kwa nini mtu asijikubali tu alivyo, halafu tena kwa mwanaume huwa naona kinyume sana wakijibadili muonekano.
Inaonekana kabisa hawajiamini na kwa mwanaume haipendezi kwa kweli.

Kama juzi kati hapa nilimuona mkaka fulani mahala very handsome mwenyewe, halafu kaanza kuwa na gray hair zile zinatokeaga moja moja na wala hajazibadili. Lakini usoni anaonekana kama kijana mdogo tu.
Kwa kweli nilimu admire kwa kuonyesha ujasiri na grey hair zake bila kuficha.
Ulimuona hb enheeee!!!
Malizia story sio unatoa nusu nusu bwana[emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Huyo wa kwenye picha ya kwanza mbona hana mbele wala nyuma

Kweli mzoe kipofu chongo anamuona mfalme
 
Hahahaaa!! Na usiwe kembambaaaaaaa. Jitahidi tu si unajua love doesnt ask, usishangae hapa Mama Sabrina anatutisha kumbe G ni kama huyo namba mbili ila yeye anamuona ni na1
Hahaahhaha oooo my unamuona huyu kazidi sana kamzidi kidogo tu G mwili ,body hivi hivi mama ara nyingi sikoseagii
Screenshot_2018-04-19-20-18-40.jpg
 
Back
Top Bottom