Wanaume wa Jf walivyo!...

Wanaume wa Jf walivyo!...

Mweeee unataka aendeleee kunitukana maana ukipitia threads zangu lazima ukutee matus yakeee
Hahhaaa! Kwani yanakutoboa? Muache atukaneee apambane na stress zake.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Id fake zinatufichia mengi kwakweli.
Niliaibika hiyo sku yan namtania muheshimiwaa jaman khaaaa mwenyewe na maneno yangu ya kichokoz yalinishukaaa shuuu sku hizi ananiambia amemiss utan wanguu anajutaaa kwann nilifahamiana nayeee anamiss vingi maana nilkuwa najiachia

Dada nisingeweza tena maana mtu mkubwaa mzito jaman loooh
 
Niliaibika hiyo sku yan namtania muheshimiwaa jaman khaaaa mwenyewe na maneno yangu ya kichokoz yalinishukaaa shuuu sku hizi ananiambia amemiss utan wanguu anajutaaa kwann nilifahamiana nayeee anamiss vingi maana nilkuwa najiachia

Dada nisingeweza tena maana mtu mkubwaa mzito jaman loooh
Hahahahaaaa!!! Na sijui huw ana stress gani hadi awe anatukana vile.
 
Mama sabrina!
1j+ojlxKOMkX9WyteRe4hGfbyafe...QwUyUqIgG99NjJE7hkwyXQgh...jpg
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukiona una kiuno kumi jitahidi kula na mazoezi, mwanaume unakuwaje mwembamba hivyo!!!
Hahaaa unaweza kuwa na 33/34 lakin huna sura ya dadako kwa huu uzi lazima uogope [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukiona una kiuno kumi jitahidi kula na mazoezi, mwanaume unakuwaje mwembamba hivyo!!!
Ili upenye vizuri kule njia panda ya miguu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
"Povu ruksa maana nachoma mioyo ya wengi"


[emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja waje uliowachoma mioyo yao.
 
Ili upenye vizuri kule njia panda ya miguu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Hapana kwakweli, utakuwa unagongwa gongwa na mifupa ukaishia kulia maumivu badala ya utamu.
 
Itakuwa maana mm Demiss napenda mtu awe na body kama ya Dr ulimwengu ndo huwa napendaaa sasa mtu mkavuuuuu mm wa kazi ganiii kumbeee picha alikuwa anaedit na filter anajifanya mnene kumbe weeeeh yerewiiiiii ngastukaaa mkavu kama anakunywaa gongo mashavu sasa mama ukijaa hapa kwenye shingo kuna mashimboo ndooo lita 5 ya maji inaingiaaaa
Lakini Demi...! [emoji28]

Hivi lakini kwa nini mtu asijikubali tu alivyo, halafu tena kwa mwanaume huwa naona kinyume sana wakijibadili muonekano.
Inaonekana kabisa hawajiamini na kwa mwanaume haipendezi kwa kweli.

Kama juzi kati hapa nilimuona mkaka fulani mahala very handsome mwenyewe, halafu kaanza kuwa na gray hair zile zinatokeaga moja moja na wala hajazibadili. Lakini usoni anaonekana kama kijana mdogo tu.
Kwa kweli nilimu admire kwa kuonyesha ujasiri na grey hair zake bila kuficha.
 
Hahahaaa!!! Angalau kidogo umepunguza moja bwana.
Itabidi kujua sifa zinazotakiwa zaidi lkn kigezo kikubwa uwe HB sijui km ni rahisi kujijua.. Ngoja nimpende mmoja nione [emoji12] [emoji12]
 
Acha kabisaa kuna watu wana comment kama vijana kumbe vibabu sasa utakavyokuwa unachat unamwambia mambo sweety rafiki na yy anakubali kumbe anafaaa kupewa shikamooo sku ukimuonaa linakushukaaa shuuuuuu
Demiss unatutusi wengi, vibabu vijana tupo[emoji23] [emoji23]
 
Mm kuna ndugu yangu alitumia acount ya rafk yake kunitongoza alikuwa bonge la mkaka enzi hizo mtoto nipo chuo mwaka wa kwanza nalipaaa chuchu konziii aiseee

Nikaingia lain sku nakutana nayee mweeeh nikajiuliza eeeeh ndugu yangu umekuja kufata nn eeeh alichonijibu niligeuzaaaa kutafuta toyooo

Kumbe alikuwa ananimezea mateee kitambooo
Ungempa tuu.. Au angeibandua na kuondoka nayo!?
 
Back
Top Bottom