Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
- Thread starter
- #181
Wataje kwa majina unaowaunga mkono kwenye oroza ya Erotica.
Bishanga najua unamjua, ila kwasababu unapenda chokochoko haya ni Nyani Ngabu! !!
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataje kwa majina unaowaunga mkono kwenye oroza ya Erotica.
Yah kesho ole wako ukose tunahamisha kikojoleo chako mgongoniDogo unasemaje?
kwa hiyo haya maflagyl niyasunde bibi yenu asiyaone siyo? Manina unusu!
I miss upangaji wa meza asee....
Umeanza EMT. Halahala kidole na macho baba!
That is the hottest man in jf
Afu we King'asti inakuwaje mpaka mida hii hujalala? Unataka kuniharibia moves zangu? Manake ulivo mbea huchelewi kuniharibia kwa bibi...
Bishanga na EMT..... Hebu ambieni huyu mdada akalale. Vinginevyo ntabadili ID nitumie ile nayomtongozeaga RussianRoulette
BADILI TABIA
BT aiseee nimependaje list yako....only because hujamtaja fulani. Ila kama Erotica na wewe umemtaja anaeusumbua moyo wa Mwali.
@Invisible Hii thread ya Wanawake kuwachaguwa Wanaume wanaowapenda Mkuu sisi tuangaliye yetu Macho tu mkuu.:smile-big:Mh... Hii thread hii....
:shock:
Invisible Hii thread ya Wanawake kuwachaguwa Wanaume wanaowapenda Mkuu sisi tuangaliye yetu Macho tu mkuu.:smile-big:
Mh..i'll be back. Na list yangu fupi tu.
@Asprin hahah umenichekesha sana nawangojea mimi wanaozungumza hii Thread wakiumwa wanijie kule kwenye jukwaa langu la J.F. Doctor niwape Dawa.MziziMkavu mpaka sasa hakuna aliyerizishwa na joto lako. Kwa hasira wapunguzie dozi ya kisukari wakose hamu ya tendo la joto.
Paxman wengine tunaogopa kupigwa vibuti bana.
Hahaha Mwali banaaLizzy, I am back. Nambie kila kitu: what happened?
Nimekuta 21 mentions in 3 hrs nikajua nimetajwa as hot,
Kumbe zote ni za kunionea huruma tuu. I feel so miserable.