Wanaume wa ki-Tanzania wengi wao wanajua majukumu yao nyumbani

Wenye wake tulieni na wake zenu, kuhangaika ndo kunawaponza.
 
daaah umejuajeeeeeee...., thanks for appreciation.

Afu akina nanihii punguzeni magezeti leo...
 
Hongereni wanaume wa bongo mnaotekeleza majukumu yenu kikamilifu
 
Hui ndo ukwel ukienda nchi nyingine kama msumbiji mtu anamilizia mshahara Kwa mavaz n'a pombe. Mwanaume anaendesha fortunér Ila nyumba ya tope. Mtz akiwa bar utasikia kile kidume changu cha St. Fwezas kimeramba one y'a saba Kumbe Kina four. Sifa y'a mzaz wa kibongo ni ufaulu mzuri. Unakuta mzaz mwingine mshahara laki nne nyumba chumba n'a sebule Ila Mtoto St. Joseh ada million mbili. Ndo Maana kadr siku zinavoenda shule za serikal wateja wanapungua hasa mijin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…