washimtoni
Member
- Sep 12, 2024
- 7
- 7
Duh, 1885 tulishaanza kupiga pamba Kali namna hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dr analazimishwa kwenda kufanya uvumbuzi?😆😆😆🤣🤣afu ni kama wanamlazimisha,mbona kalala?
🤣🤣Hii ni shidadr analazimishwa kwenda kufanya uvumbuzi?😆😆😆
Na tulidanganywa sana kwamba mtu wa kwanza kuona Mlima Kilimanjaro ni mzungu fulani. Mbaya zaidi tukafundishwa hivyo mashuleni. Je, wachaga si watu?! Kuna haja ya kuandika upya historia yetu ya kweli na ya staha. Si hiyo ya kukejeliwa na kudharauliwa.Aneyoona kwanza ndio anagundua au anayepelekwa?
Ni sahihi kabisa, hakuwahi kufika ziwa Nyanza. Hata milima inayoitwa kwa jina lake huku Nyanda za Juu Kusini Magharibi (milima ya Ukinga), iliyosambaa kuanzia mkoani Mbeya, Njombe hadi Ruvuma, hakuifikia. Aliiona kwa mbali akiwa nchini Malawi.Livingstone hakufika ziwa Victoria na alifariki 1873 kule Chitembo mpakani mwa Zambia na Tanzania.Kuna ujumbe kiasi kwnye bandiko lako ingawa ni andiko ahistorical
Acha ufala🤣🤣🤣🤣afu ni kama wanamlazimisha,mbona kalala?
Aliyeweka kwenye maandishi ndio mshindi 😆😆Wadau hamjamboni nyote?
Wanaume wa Kijaluo wakiwa wamembeba David Livingstone siku kama ya leo mwaka 1885 kumuonyesha ziwa Victoria ili aweze kuligundua.
View attachment 3193895
That time Waafrika ilikuwa hawajaanza kuhesabiwa kama binadamu, definition ya enzi hizo ya black Africans was "animals very organized like human beings but slow in thinking".Aneyoona kwanza ndio anagundua au anayepelekwa?
😅😅 Vp kuhusu wamasai na wachaga?John speke nae alikuwa wa kwanza kuona mlima Kilimanjaro 😂 sijui Niko sawa
Wanaume wa Kijaluo ! NitarudiWadau hamjamboni nyote?
Wanaume wa Kijaluo wakiwa wamembeba David Livingstone siku kama ya leo mwaka 1885 kumuonyesha ziwa Victoria ili aweze kuligundua.
View attachment 3193895
Aliyeanzisha huu uzi katukosea sana.Wanaume wa Kijaluo ! Nitarudi
Sii ndo history ilivyo na uwongo 😂😂😅😅 Vp kuhusu wamasai na wachaga?
Siyo Speke ni Rebman 1848John speke nae alikuwa wa kwanza kuona mlima Kilimanjaro 😂 sijui Niko sawa
Ooh shukrani kwa correctionSiyo Speke ni Rebman 1848
Kasinzia kwa uchovu wa SafariWadau hamjamboni nyote?
Wanaume wa Kijaluo wakiwa wamembeba David Livingstone siku kama ya leo mwaka 1885 kumuonyesha ziwa Victoria ili aweze kuligundua.
View attachment 3193895
Livingstone alifika ziwa Victoria? Mwaka huo mbona alikuwa ameshafariki? Hii historia ulisoma wapi?Wadau hamjamboni nyote?
Wanaume wa Kijaluo wakiwa wamembeba David Livingstone siku kama ya leo mwaka 1885 kumuonyesha ziwa Victoria ili aweze kuligundua.
View attachment 3193895