Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Kusema mvumbuzi ni makosa. Tunasema ni mzungu wa kwanza kuliona hilo ziwa😎... according to them back then mvumbuzi wa lake Victoria alikuwa ni John Hanning Speke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusema mvumbuzi ni makosa. Tunasema ni mzungu wa kwanza kuliona hilo ziwa😎... according to them back then mvumbuzi wa lake Victoria alikuwa ni John Hanning Speke.
Wapumbavu kama hawa ni kuwatukana asirudie upumbavu wake wa kuandika upupu kila siku....Livingstone alifika ziwa Victoria? Mwaka huo mbona alikuwa ameshafariki? Hii historia ulisoma wapi?
Wadau hamjamboni nyote?
Wanaume wa Kijaluo wakiwa wamembeba David Livingstone siku kama ya leo mwaka 1885 kumuonyesha ziwa Victoria ili aweze kuligundua.
View attachment 3193895
Kwa hiyo uvumbuzi ni mjumuiko wa juhudi kutoka kwa wenyeji waafrika , waarabu na hao wazungu
Atakama sisi ni wajinga ila sio Kwa kiasi hikii....alikuwa ni John speke sio Livingston..Wadau hamjamboni nyote?
Wanaume wa Kijaluo wakiwa wamembeba David Livingstone siku kama ya leo mwaka 1885 kumuonyesha ziwa Victoria ili aweze kuligundua.
View attachment 3193895