Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

Mwanaume wa kikurya humlishi wali eti alale kuwa ameshiba Kitu ugali tena kuanzia dona kuendelea hivyo wana uwezo wa nguvu za kiume ambalo ni kilio cha warembo hapa mjini!
Mkurya ni jasiri hutumia nguvu zake zote ili asidhalilike, na kajariwa kuwa na nguvu hasa za kiume ndio maana wanaoa wanawake wengi! wanapenda vyakula vya asili kama viazi vitamu, maziwa ya ng'ombe wa kienyeji, ugali ambao unga wake haujakobolewa na togwa.
Nenda Kivule, Kitunda n.k utakuta jamaa wanaishi kama wako mara. Kitu nguvu za kiumeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!
 
Wanawake siku hizi hawapend wanaume waongeaji sana. Wanahisi wanalaghaiwa.
Wakurya hawanaga stori,utasikia 'NINKUHANCHIRI UKANG'A LIMWI.
Et nakipenda nipe. Mwanamke ukiongea maneno mingi anakuwa na mashaka na ww.
Mwambie Nataka uwe demu au mke wangu wa ndoa inatosha,Story nying za nn?
Kama hasomek achana naye, WANAWAKE WAKO WENGI.
Rejea sensa ya 2010. Ni 54%.
 
Mhh em toeni statistics hapa,wanapendwa sana na mabinti kivipi..makabila yote mbona wanaume wanapendwa vizuri tu
 
MURAAA! malavu yanatundokea burebure tuwakomeshee! hakuna kurara hakuna "UKIMWI"<dumb prouds>
 
tte.jpg

watoto wanakaa chini hivi
kwanini hatuwasapoti kuwanunulia madawati?

ww.jpg

ajali kila kukicha
uzembe ni wa wakina nani madreva au wasafiri?
 
Hahahaaa....kiaina ina make sense vile,ninachojua kuhusu wakurya wana confidence sana wanapoongea na yeyote yule,iwe kibiashara au mengineyo,suala la hela...mmmh wapo lakini sio wengi kama mdau alivosema wachaga,wachaga wana hela koz wako kwenye vitu vingi kama biashara,viongozi,wizi na mengineyo,asikuambie mtu robo tatu ya k'koo ni wachaga koz wana guts za kuanzia chini alafu ni nchi nzima yaani k'koo ni segment moja tu so kwa hela still wo wapo,wakurya kweli naona wanadaka totoz kweli!
 
Wanawake siku hizi hawapend wanaume waongeaji sana. Wanahisi wanalaghaiwa.
Wakurya hawanaga stori,utasikia 'NINKUHANCHIRI UKANG'A LIMWI.
Et nakipenda nipe. Mwanamke ukiongea maneno mingi anakuwa na mashaka na ww.
Mwambie Nataka uwe demu au mke wangu wa ndoa inatosha,Story nying za nn?
Kama hasomek achana naye, WANAWAKE WAKO WENGI.
Rejea sensa ya 2010. Ni 54%.

Hapo ninkuhanchiti ukang"a kamwi,nimekumbuka home dah!
 
Ni kwamba wanayajua mapenzi sana,wana mafanikio sana au wameacha ile tabia yao ya kupiga mangumi wake zao?maana siku hizi hapa mjini mabinti wenzangu naona kama ndo fashion,kila shoct wangu anamilikiwa na mwanaume wa kikurya!

We are so loving and caring, hatuna makuu. Tatizo tu nikukamate kwenye 18 umenifanyia ya kunifanyia, hapo ndo utajua sisi ni akina nani. Hongera kwa post nzuri!
 
mmh mi bure siwataki, hawatabiriki hao kama hali ya hewa ya dar mara mvua mara jua, utajikuta siku kakuwekea mzigo wa fimbo chini ya kitanda unachapwa weee akitoka hapo anamuambia mama Roche mimi nakupenda sana!! siwezi mwanzangu

Hahaha! umenifurahisha sana.
 
Back
Top Bottom