julius mahinya
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 1,152
- 384
Mwanaume wa kikurya humlishi wali eti alale kuwa ameshiba Kitu ugali tena kuanzia dona kuendelea hivyo wana uwezo wa nguvu za kiume ambalo ni kilio cha warembo hapa mjini!
Mkurya ni jasiri hutumia nguvu zake zote ili asidhalilike, na kajariwa kuwa na nguvu hasa za kiume ndio maana wanaoa wanawake wengi! wanapenda vyakula vya asili kama viazi vitamu, maziwa ya ng'ombe wa kienyeji, ugali ambao unga wake haujakobolewa na togwa.
Nenda Kivule, Kitunda n.k utakuta jamaa wanaishi kama wako mara. Kitu nguvu za kiumeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!
Mkurya ni jasiri hutumia nguvu zake zote ili asidhalilike, na kajariwa kuwa na nguvu hasa za kiume ndio maana wanaoa wanawake wengi! wanapenda vyakula vya asili kama viazi vitamu, maziwa ya ng'ombe wa kienyeji, ugali ambao unga wake haujakobolewa na togwa.
Nenda Kivule, Kitunda n.k utakuta jamaa wanaishi kama wako mara. Kitu nguvu za kiumeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!

