nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Utakubaliana na kibamia? Ufupi wa kimo=kibamiaNjoo kwangu mie napenda wafupii...
Makabila yote yenye uswahili uswahili na maneno meengi na vigodoro na ngoma ngoma za mara kwa mara kwanza ni vigumu kuendelea halafu wanawaboa wanawake kwa vijimaneno vyao,kufuatiliana na mipasho. Hata mwanaume anakuwa kama wa kike.Tatizo lenu ni wafupi mno hafu waswahili MNA vijiba vya roho na wanaume wafupi kutembea nao aibu tupu
Hapa JF jamvini wapo wawili tu wanateteana.Kawapania kwa kweli.... Ebu tuwasubiri waje maana wakifika tu hapakai humu ndani..... [emoji125] [emoji125] [emoji125]napita tu
Acha Mipasho hiyo mtoto wa kiume.Waluguru ni watu makini na hawana shida ndogo ndogo tofauti na watu wa kaskazini ambao huko kwao njaa kali kazi kukimbilia morogoro na kulia lia njaa. Tumewafadhili sana humu Moro lakini hatimaye mnaleta madharau. Kweli Mfadhili Mbuzi Binadamu hutamuweza....
hahahahahaha..... yaani Mkuu unanifurahisha sanaa!! unavyo wasimanga nahisi wakiona post zako watazipitia mbali kabisaaa!!!Yaan wana mambo ya ajab sana afu wanapenda mashindano hao usiombe ukamdate mbilikimo wa kiliguru afu ukamuacha atakufanyia timbwil la asha ngedere nyuma
umenikumbusha mbali hili jina mkuuumjomba mkude naona yamekufika hapa.hahahahaha, ujumbe umefika mjomba.
Karibuni Mgeta one kula Pasaka
Wana wingi wa homoni za kike kwenye damu zao msiwalaumu.Karibuni Mgeta mje kula Pasaka
Duh!job is available=kazi ipo!bonge la ubunifu jamaa hata alivyo andika nahisi ana hasira kweli pole mleta uzi hakuna alie chagua kimo ila ndo hivyo vumilia.job is available
Sembuche sio mluguru ni mkaguru wa gairo ila wazaz wake walihamia , Turiani kijiji cha kigugu ,Wapi papa SEMBUCHE na pande morogoro. Umenikumbusha jitu moja la miraba minne lifupi alinitesa sana pale SUA
Hahahaa, omg...nimecheka...mbona una hasira lakini...vipi how tall are you?Kama Warefu dili si muwale basi. Inaboa sana aisee. Kila kitu urefu urefuu. Ndo nini huo urefu na wengi ni wachovu tu tunawajua
eeeeh! haya sasa mshindwe wenyewe.Njoo kwangu mie napenda wafupii...