Wanaume wa Kitanzania mnaniangusha kupanga foleni na kugombania nyama za bure. Mbona mahindi ya virutubisho mliyakataa?

Wagalatia huwa hawapendi nyama na tende za bure kutoka kwa waarabu, hilo linawahusu waisilamu tu.
Nyama iliyonona ukimpa shekhe aigawe itamuozea mikononi kwa uchoyo.
 
Weeeeee.... Nyama kilo sa ivi alfu kumi.. wapi huko wanagawa nyama bure na mi navae shati za hivi hapa niende huko??
 
Kuwaona hao jamaa waliokua wana gombania nyama isiwe sababu ya kutusema wanaume wa Tanzania kama vile na wengine tulikuepo huko jifunze kuandika habari bila kujumuisha na wasio husika
Papasa 🀣🀣
 
Jirani yangu muislamu alienda yeye na mumewe na kijana wao ilikua asubuhi wakarudi usiku jasho linawatoka na vifurushi vyao[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
 
Hao wagawa nyama.......mpaka waende kwenye nyumba za ibada kutuzalilishia watanzania wenzetu.
Wanagombea nyama....wao wanawachukua video...duuu
 
Tumia akili kuleta mada.

Mpaka sasa sijaona mwanaume anayefahamu hizo nyama mmegombania wapi na zimetoka kwa nani isipokuwa wewe pekee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…